CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Umeshau kufyeka bigirimana na Bryson david
Tunatakiwa tuwe na winga kama Kipre jr au Dario
Yaani tunahitaji inverted winger, Sio winger anayecheza kwenye kibendera kama kisinda.
Umewasahu bryson, bigirimana na ninja ila ambundo abaki sio mbaya na ukizingatia timu inashiriki mashindano mengi kwaiyo itahitaji rotation..
Hatutaki ushauri wenu ongozeni kwanza ligi ndio mje mtu shauri
Nadhani majibu umepata toka kwa MateleHao wachezaji kumbuka hawqtoweza kushiriki michuano ya CAF msimu huu mpaka msimu ujao
Halafu kwa maslahi mapana ya Yanga, kama uongozi upo serious basi watafute striker mwingine.
Kwa kiwango alichokionesha saizi Mayele kwenye mechi nne za mwisho hana uwiano mzuri wa kukuhakikishia anafunga.
Sisemi kama hafai na kwamba anapaswa kutolewa, ila yuko katika kipindi ambacho hana form work nzuri so ni bora kwenye ile nafasi ya Makambo akatafutwa Striker mwingine
Na sometimes hata hiyo inaweza kutoa faida kwa pande zote mbili, kuanzia kwa mchezaji hadi kwa club.
Nikiwa na maana kwamba mchezaji akiona namba yake kuna mchezaji mwingine anayecheza vizuri basi lazima atakuwa anajituma kwa nguvu zake zote ili aendelee kupata nafasi
Tutashauliwa na Mtibwa sio nyie malalamiko kama watoto wa kamboHiyo ligi hata mtibwa ashaongoza acha ushamba
Kuna tofauti Kati ya CCM na YANGA!Na isitoshe wewe ni mwanamke unaanzaje kushauri wakati kama huu ambao upo period?
Mimi sio shabiki mimi ni mwanachama wa yangaKuna tofauti Kati ya CCM na YANGA!
WEWE UTAKUWA MWANACHAMA WA CCM!!
Hakunaga shabiki wa YANGA anayeongea lugha za namna hiyo!!