Yanga fanyia kazi suala la umiliki wa mpira

Yanga fanyia kazi suala la umiliki wa mpira

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
Pamoja na kuchukua ubingwa msimu huu timu ya Yanga haina ufundi wa kumiliki mpira. Viungo wa Yanga haoneshi kabisaa uwezo mkubwa wa kumiliki mpira ili wawavute mabeki watoke golini , waende pembeni na kuachia vyumba ili wafungaji washambulie vema.

Vile vile jinsi beki inavyojipanga katika kulinda goli hakuoneshi kukomaa kiufundi. Mabeki mara zote hutawanyika hovyo na kubiri ngeke tuu iokoe mashambulizi.

Yanga isipofanyia kazi suala la umiliki mpira itajikuta inatolewa mapema katika mbio za kuingia katikla makundi ya klabu bingwa Africa. Timu nyingi sana zimepiga hatua katika umiliki wa mpira ambazo yanga itacheza nazo katika mtoano. lazima Yanga ijifunze kwanini ilitolewa hatua ya awali na timu ya Nigeria ili liwe fundisho la kujifunza kutorudia makosa mwaka huu.

Jamani mashabiki wa yanga lazima tuikosoe timu ili tumdai kocha yale ya maana kwa mslahi ya timu kuchukua ubingwa wa Africa.
 
Pamoja na kuchukua ubingwa msimu huu timu ya Yanga haina ufundi wa kumiliki mpira. Viungo wa Yanga haoneshi kabisaa uwezo mkubwa wa kumiliki mpira ili wawavute mabeki watoke golini , waende pembeni na kuachia vyumba ili wafungaji washambulie vema. Vile vile jinsi beki inavyojipanga katika kulinda goli hakuoneshi kukomaa kiufundi. mabeki mara zote hutawanyika hovyo na kubiri ngeke tuu iokoe mashambulizi.

Yanga isipofanyia kazi suala la umiliki mpira itajikuta inatolewa mapema katika mbio za kuingia katikla makundi ya klabu bingwa Africa. Timu nyingi sana zimepiga hatua katika umiliki wa mpira ambazo yanga itacheza nazo katika mtoano. lazima Yanga ijifunze kwa nini ilitolewa hatua ya awali na timu ya Nigeria ili liwe fundisho la kujifunza kutorudia makosa mwaka huu.

jamani mashabiki wa yanga lazima tuikosoe timu ili tumdai kocha yale ya maana kwa mslahi ya timu kuchukua ubingwa wa Africa.
Kama mtafanya hivi huenda mkafanikiwa,lakini hapo mlipofika ni gsm ameshinda mechi nje ya uwanja ndio maana uliona yanga haipotezi mechi.

Huu ulikuwa mkakati maalum na kuna wachezaji wa timu mbali mbali wanajua siri hii.

Hata hivyo niwapongeze kwa kutwaa ubingwa maana hata hiyo michezo ya nje ya uwanja inahitaji mbinu kali
 
Kama mtafanya hivi huenda mkafanikiwa,lakini hapo mlipofika ni gsm ameshinda mechi nje ya uwanja ndio maana uliona yanga haipotezi mechi.

Huu ulikuwa mkakati maalum na kuna wachezaji wa timu mbali mbali wanajua siri hii.

Hata hivyo niwapongeze kwa kutwaa ubingwa maana hata hiyo michezo ya nje ya uwanja inahitaji mbinu kali
Simba nawao kwanini hawakucheza nje ya uwanja wachukue ubingwa?

Hivi nani haoni jinsi Yanga inaanzia mpira nyuma wanapanda na kwenda kufunga?

Hivi nani haoni Yanga wakipoteza mpira wanavyokaba kama ugomvi?

kwahiyo hata Simba kupasuliwa CCM Kirumba nayo ni fitna za GSM nje ya uwanja?

Wanasimba ili mpone majeraha ni vizuri mkubali Yanga imesajili vizuri na imewazidi uwezo kimpira!! kubalini tu hamtuwezi mwaka huu!!
 
Kama mtafanya hivi huenda mkafanikiwa,lakini hapo mlipofika ni gsm ameshinda mechi nje ya uwanja ndio maana uliona yanga haipotezi mechi.

Huu ulikuwa mkakati maalum na kuna wachezaji wa timu mbali mbali wanajua siri hii.

Hata hivyo niwapongeze kwa kutwaa ubingwa maana hata hiyo michezo ya nje ya uwanja inahitaji mbinu kali
Sijui mawazo ya kipuuzi kama haya huwa mnarithi au mnajifunza mitaani?
 
Simba nawao kwanini hawakucheza nje ya uwanja wachukue ubingwa?

Hivi nani haoni jinsi Yanga inaanzia mpira nyuma wanapanda na kwenda kufunga?

Hivi nani haoni Yanga wakipoteza mpira wanavyokaba kama ugomvi?

kwahiyo hata Simba kupasuliwa CCM Kirumba nayo ni fitna za GSM nje ya uwanja?

Wanasimba ili mpone majeraha ni vizuri mkubali Yanga imesajili vizuri na imewazidi uwezo kimpira!! kubalini tu hamtuwezi mwaka huu!!
Mpira gani Yanga imewazidi Simba?
 
Kama mtafanya hivi huenda mkafanikiwa,lakini hapo mlipofika ni gsm ameshinda mechi nje ya uwanja ndio maana uliona yanga haipotezi mechi.

Huu ulikuwa mkakati maalum na kuna wachezaji wa timu mbali mbali wanajua siri hii.

Hata hivyo niwapongeze kwa kutwaa ubingwa maana hata hiyo michezo ya nje ya uwanja inahitaji mbinu kali
Umevamia hujui chochote
 
mpira wa Nabi si kuhangaika kumiliki kama polisi au Simba au Kmc bali ni kwenda mbele kutengeneza nafasi kufunga na hatimae kutetema! mengine hatuna shughuli nayo tunachojua ni kufuata Pele alisema nini na anataka nini!!
Nakazia
 
Kama mtafanya hivi huenda mkafanikiwa,lakini hapo mlipofika ni gsm ameshinda mechi nje ya uwanja ndio maana uliona yanga haipotezi mechi.

Huu ulikuwa mkakati maalum na kuna wachezaji wa timu mbali mbali wanajua siri hii.

Hata hivyo niwapongeze kwa kutwaa ubingwa maana hata hiyo michezo ya nje ya uwanja inahitaji mbinu kali
Akichukua Yanga ni nje ya uwanja mkichukua nyie mnajua, kwahio Msimu huu mmetuuzia nechi mbili
 
Hebu tutajie team iliyopiga pasi nyingi mpaka sasa ligi kuu.
Tutajie team iliyofungwa magoli machache mpaka sasa.

Tutajie team iliyoongoza kwa umiliki mpira mpaka sasa.

Tutajie team iliyofunga magoli mengi mpaka sasa..

Taja hebu tuone
 
Hebu tutajie team iliyopiga pasi nyingi mpaka sasa ligi kuu.
Tutajie team iliyofungwa magoli machache mpaka sasa.

Tutajie team iliyoongoza kwa umiliki mpira mpaka sasa.

Tutajie team iliyofunga magoli mengi mpaka sasa..

Taja hebu tuone
Akikujibu nipo paleee! Utaniita
 
Kama mtafanya hivi huenda mkafanikiwa,lakini hapo mlipofika ni gsm ameshinda mechi nje ya uwanja ndio maana uliona yanga haipotezi mechi.

Huu ulikuwa mkakati maalum na kuna wachezaji wa timu mbali mbali wanajua siri hii.

Hata hivyo niwapongeze kwa kutwaa ubingwa maana hata hiyo michezo ya nje ya uwanja inahitaji mbinu kali
Kama ambavyo bwana mudi alivyokuwa anashinda mechi nje ya uwanja ndo maana simba ilikuwa aipotezi mechi lakini safari hii kazidiwa ujanja kwakuwa alikuwa akiweka 100 mwenzake anaweka 300,
 
Pamoja na kuchukua ubingwa msimu huu timu ya Yanga haina ufundi wa kumiliki mpira. Viungo wa Yanga haoneshi kabisaa uwezo mkubwa wa kumiliki mpira ili wawavute mabeki watoke golini , waende pembeni na kuachia vyumba ili wafungaji washambulie vema.

Vile vile jinsi beki inavyojipanga katika kulinda goli hakuoneshi kukomaa kiufundi. Mabeki mara zote hutawanyika hovyo na kubiri ngeke tuu iokoe mashambulizi.

Yanga isipofanyia kazi suala la umiliki mpira itajikuta inatolewa mapema katika mbio za kuingia katikla makundi ya klabu bingwa Africa. Timu nyingi sana zimepiga hatua katika umiliki wa mpira ambazo yanga itacheza nazo katika mtoano. lazima Yanga ijifunze kwanini ilitolewa hatua ya awali na timu ya Nigeria ili liwe fundisho la kujifunza kutorudia makosa mwaka huu.

Jamani mashabiki wa yanga lazima tuikosoe timu ili tumdai kocha yale ya maana kwa mslahi ya timu kuchukua ubingwa wa Africa.
Upo sahihi.kwa hilo nakuunga mkono

Pili kucho wetu jana alikosea upangaji wa kikosi kwa kuwaanzisha benchi akina Mayele..

Kweli ubingwa tumechukua lakini anasahau kuna mambo mawili makubwa tunapigania

1)Unbeaten record
2)Golden boot/ best goal scorer

Kwa hayo mambo mawili hupaswi kuingiza timu kana kwamba inacheza friend match
Tumuombe Nabi na benchi lake wasirudie upuuzi huu game ya tarehe 29 jumatano.
 
Kama mtafanya hivi huenda mkafanikiwa,lakini hapo mlipofika ni gsm ameshinda mechi nje ya uwanja ndio maana uliona yanga haipotezi mechi.

Huu ulikuwa mkakati maalum na kuna wachezaji wa timu mbali mbali wanajua siri hii.

Hata hivyo niwapongeze kwa kutwaa ubingwa maana hata hiyo michezo ya nje ya uwanja inahitaji mbinu kali
Yanga hii ilikua bora hilo halina ubishi
 
Hebu tutajie team iliyopiga pasi nyingi mpaka sasa ligi kuu.
Tutajie team iliyofungwa magoli machache mpaka sasa.

Tutajie team iliyoongoza kwa umiliki mpira mpaka sasa.

Tutajie team iliyofunga magoli mengi mpaka sasa..

Taja hebu tuo kama hatuta ikosoa klabu kitaalamu basi itakuwa shida kufikia ubingwa wa africa.hebu angalia mechi ya petrol ruanda ya angola vs wyad casablanca. angalia mechi ya finali wyad casablanca na el ahly ya misri. hapo utaona kitu kipya ambacho timu ya yanga inakihitaji haraka sana. usingoje kujifunzia mtihani siku ya kufanya mtihani anza mapema.

Upo sahihi.kwa hilo nakuunga mkono

Pili kucho wetu jana alikosea upangaji wa kikosi kwa kuwaanzisha benchi akina Mayele..

Kweli ubingwa tumechukua lakini anasahau kuna mambo mawili makubwa tunapigania

1)Unbeaten record
2)Golden boot/ best goal scorer

Kwa hayo mambo mawili hupaswi kuingiza timu kana kwamba inacheza friend match
Tumuombe Nabi na benchi lake wasirudie upuuzi huu game ya tarehe 29 jumatano.
umesena vema mkurugenzi wetu. mechi zote za robo fainali klabu bingwa africa nimeziona live . hapo kama mshabiki wa yanga lazima nilinganishe na uwezo wa ball possesion timu yetu iliouonesha ktk kuu ligi.ikiwa nimeona mapungufu ambayo yanaweza kutunyima raha ya kushindwa kuingia makundini mwa vilabu bora vya kucheza ligi ya CAF lazima niyataje mapema ili tuwadai kaze na nabi.
ball possesion ni injini ya kiufundi ambapo timu lazima ijue vema ili ijue jinsi gani ya kusonga mbele na kurudi nyuma kulinda goli. huwezi kubutua mbele mpira ikiwa timu pinzani imejaza mabeki golini. ball possesion ndio injini inayo saidia kuwavuta mabeki watoke pale walipo ili waje fuata mpira ndipo hapo washambuliaji hupata mianya ya kusonga mbele kuwinda magoli.
Taifa star imepiga hatua kubwa sana ya ball possesion ambapo kama tukifanikiwa tuu kwenda fainali za ivory cost tutafika mbali sana na kuuza wachezaji wengi nje ya nchi kwa jinsi ufundi wa kuvutia kocha alivowanoa vijana wetu. Timu zote za algeria, moroco, misri ghana cameroon na angola zina uwezo mkubwa sana wa ball possesion. Yanga isiwe nyuma kuwashinda hao wenzetu. mm sitaki huzuni ya kuishia kutolewa hatua ya awali.
.
 
Hebu tutajie team iliyopiga pasi nyingi mpaka sasa ligi kuu.
Tutajie team iliyofungwa magoli machache mpaka sasa.

Tutajie team iliyoongoza kwa umiliki mpira mpaka sasa.

Tutajie team iliyofunga magoli mengi mpaka sasa..

Taja hebu tuone
sasa tunaingia mechi za kimataifa baada ya kumaliza mechi za kunyumba. lazima ujue mapungufu yetu na uyafanyie kazi kabla ya kuingia huko kimataifani.mpira sio lazima kupiga mbele kutafuta goli tuu. mpira ni kuwatawanya mabeki na viungo ili wewe upate mwanya wa kufunga . hapo ndipo ball possesion inapohitajika. kama Yanga imechukua ubingwa wa ligi kuu lakini ktk ball possesion kuna mapungufu makubwa lazima useme ili huko mbele tusije mlaumu kocha kitoto.
hapo unayoyasema huwezi yasema tena ikiwa utaangali mechi moja tuu ya wayad Casablanca vs petrol de Luanda ya angola. nasema hivi kwa sababu baada ya kuiona mechi hiyo nikagundua kuwa Petrol de Luanda ya angola wana uwezo mkubwa wa ball possesion kupita yanga na wakafungwa kwao angola 2-0. hapo ndipo niliona wasi wasi wa kama mti mbichi unawaka moto je ule mkavu itakuwaje?
Ndugu yangu kusajili wachezaji wengi sana mashuhuli hakuna tija kabisaa kama ball possesion ni dhaifu kitimu. jua hilo mapema!
 
Yanga anaenda mpaka final msimu huu wa league ya mabingwa.
 
Back
Top Bottom