Yanga FC na safari chizi

Simba mnalazimisha furaha lakin wapi
Tatizo hawakutuambia kama wanaumia na mafanikio ya Yanga.

Mwenzao Msafiri Diof wa Twanga Pepeta aliimba wazi anaumia kwa mawazo juu ya Emmy, ila Simba wanaumia halafu hawasemi, sasa ole wao turudi na kombe ndio watajuwa hawajui.

Viva Aluta hii vita hatujamalizana bado na USM Alger
 
Mbumbumbu wasiumie kwa miaka miwili bila kombe lolote [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mbona unatukana sana ukoo wenu mnaishi mbuga gani maana una uhayawani.
 
Safari ya chizi ni ndefuu, muache azunguke huku akiongea, then akirudi na cheni ya mbwa mpokeee. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga isiporudi na kombe Algeria itarudi na medali na kiatu cha dhahabu mfungaji bora Fiston Mayele.

Je mataahira ya Msimbazi MNA nini?
Ko mnagombania kombe la Medali? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mmevurugwaaaaaas
 
kwani nani kapewa kombe jana,hata chizi huona wazima machizi pia kwaiyo wewe ni chizi lazma uone watu machizi kwa kuvaa nguo na kulala ndani???AU NDO BORA ANDAZI!!!
 
Yanga hatuidai boli kama Barcelona tumeshinda ugenini mbele ya fataki na mashabiki milioni. Tumejifunza pakubwa kushinda nyumbani ni muhimu, Fiston Mayele our hero.

Lawama zangu binafsi ni kwa Khalid Aucho viongozi au Cedric Kaze amwambie mashindano makubwa aache rafu za kijinga za kadi , ametucost pakubwa laiti angecheza tungepata timu nzuri zaidi na yeye balance maana Sureboy na Mudathir wanakaba vizuri ila hawana akili ya Aucho kupiga pasi za mwisho , Jana Hawa Azam FC boys waligeuza geuza sana mipira anao anao sana show off nyingi badala ya kuharakisha kutoa pasi mbele Kwa Mayele!
 
Na mumeimaliza kwa ushindi mnono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…