Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kwa matokeo hayo ya timu ya Yanga kulazimishwa sare na Mwadui, Yanga imabaki kwenye nafasi yake ya tano huku Mwadui wakipanda kutoka nafasi ya 11 hadi nafasi ya 9 katika msimamo wa ligi kuu Tanzania bara VPL.