Yanga fuatilia mechi za El hilal au St george kabla ya Oct 7

Yanga fuatilia mechi za El hilal au St george kabla ya Oct 7

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
Yanga itapambana na mmoja kati ya timu hizo ili mshindi aingie mechi za makundi. Tatizo lipo kwetu yanga tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini kutokana na ratiba ya mechi . Ili kuzifunga mabao mengi nyumbani El Hilal au St George ni lazima kujua aina ya uchezaji wao ili mbinu zetu ziwawatawale kuanzia kwa mwanzo wa mechi mpaka mwisho.

ile tabia ya kupindua meza ili kipindi cha pili tushinde tunaweza kujikluta tunatoa sare au kushinda goli moja. hii itakuwa tatizo huko ugenini haswaa ukizingati wasudan na ethiopia kwao ni mawe sana. inabidi uongozi wa yanga umtume mtu kuspy mechi zao na kujua mbinu zao kabla ya kukutana nao. nawakilisha ushauli
 
Yanga itapambana na mmoja kati ya timu hizo ili mshindi aingie mechi za makundi. Tatizo lipo kwetu yanga tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini kutokana na ratiba ya mechi . Ili kuzifunga mabao mengi nyumbani El Hilal au St George ni lazima kujua aina ya uchezaji wao ili mbinu zetu ziwawatawale kuanzia kwa mwanzo wa mechi mpaka mwisho.

ile tabia ya kupindua meza ili kipindi cha pili tushinde tunaweza kujikluta tunatoa sare au kushinda goli moja. hii itakuwa tatizo huko ugenini haswaa ukizingati wasudan na ethiopia kwao ni mawe sana. inabidi uongozi wa yanga umtume mtu kuspy mechi zao na kujua mbinu zao kabla ya kukutana nao. nawakilisha ushauli
Mpira ni dakika 90 it doesn't matter unapata goals dakika zipi waswahili hua hamkosi maneno zamani ilikua Yanga wanakata pumzi kipindi cha pili sasa hivi mmegeuza tena maneno, mfano ngao ya jamii Simba aliongoza kipindi cha kwanza akaja kunyooshwa second half kila team na mbinu zake
 
Yanga itapambana na mmoja kati ya timu hizo ili mshindi aingie mechi za makundi. Tatizo lipo kwetu yanga tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini kutokana na ratiba ya mechi . Ili kuzifunga mabao mengi nyumbani El Hilal au St George ni lazima kujua aina ya uchezaji wao ili mbinu zetu ziwawatawale kuanzia kwa mwanzo wa mechi mpaka mwisho.

ile tabia ya kupindua meza ili kipindi cha pili tushinde tunaweza kujikluta tunatoa sare au kushinda goli moja. hii itakuwa tatizo huko ugenini haswaa ukizingati wasudan na ethiopia kwao ni mawe sana. inabidi uongozi wa yanga umtume mtu kuspy mechi zao na kujua mbinu zao kabla ya kukutana nao. nawakilisha ushauli
Wanalijua hilo na washaifanya iyo kazi kabla ata awajacheza na Zalan
 
Mpira ni dakika 90 it doesn't matter unapata goals dakika zipi waswahili hua hamkosi maneno zamani ilikua Yanga wanakata pumzi kipindi cha pili sasa hivi mmegeuza tena maneno, mfano ngao ya jamii Simba aliongoza kipindi cha kwanza akaja kunyooshwa second half kila team na mbinu zake
kuna hatari yanga ikacheza na El hilal. ukifuatilia wakati TP mazembe wapo juu miaka ya nyuma hawa El Hilal walikuwa hawafungiki kwao mpaka mazembe atumie uwanja wa Rubumbashi. Mimi kama yanga kinda kindaki natoa ushauli wa kujua ramani ya vita kabla ya kuanza vita. unanisikia amigo!
 
Yanga itapambana na mmoja kati ya timu hizo ili mshindi aingie mechi za makundi. Tatizo lipo kwetu yanga tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini kutokana na ratiba ya mechi . Ili kuzifunga mabao mengi nyumbani El Hilal au St George ni lazima kujua aina ya uchezaji wao ili mbinu zetu ziwawatawale kuanzia kwa mwanzo wa mechi mpaka mwisho.

ile tabia ya kupindua meza ili kipindi cha pili tushinde tunaweza kujikluta tunatoa sare au kushinda goli moja. hii itakuwa tatizo huko ugenini haswaa ukizingati wasudan na ethiopia kwao ni mawe sana. inabidi uongozi wa yanga umtume mtu kuspy mechi zao na kujua mbinu zao kabla ya kukutana nao. nawakilisha ushauli
Hizi sasa ndio zitakuwa game za ukweli. Hapo ndio tunaanza champions league
 
kuna hatari yanga ikacheza na El hilal. ukifuatilia wakati TP mazembe wapo juu miaka ya nyuma hawa El Hilal walikuwa hawafungiki kwao mpaka mazembe atumie uwanja wa Rubumbashi. Mimi kama yanga kinda kindaki natoa ushauli wa kujua ramani ya vita kabla ya kuanza vita. unanisikia amigo!
Real Madrid imechukua UCL last season ilikua inashinda kipindi kipi? cha msingi shinda mechi sijui umeshida kipindi cha ngapi hizo ni extra
 
Hizo team zote ni mbovu haina haja ya kuzifatilia kipimo chenu si ni simba na walishacheza nao wote hao kwa hyo kaeni kwa kutulia
 
Ao St George au El hilal wote ni timu za kawaida Nina matumaini Yanga anakwenda kupata matokeo nyumbani na Ugenini.
Izo zote ni timu za CAF zone five, Yanga ikishindwa kupata matokeo litakua jambo la kukatisha tamaa.
Kinacho hitajika ni juhudi za wachezaji binafsi na timu Kwa ujumla wake.
 
Kwani hawa st george mnawaogopa? Si mlisema vibonde walipofungwa na simba. Acheni uoga mtawapiga 5 kama zalan tu
[emoji848]
20220918_111805.jpg
 
Hizo team zote ni mbovu haina haja ya kuzifatilia kipimo chenu si ni simba na walishacheza nao wote hao kwa hyo kaeni kwa kutulia
Kweli Kabisa......

Daima mbele nyuma Mwiko
 
Back
Top Bottom