Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Bye bye ya kwenda wapi?Haha bye bye madame 👋🏽
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bye bye ya kwenda wapi?Haha bye bye madame 👋🏽
Ila mkuu ukweli unaujua........ukiangalia mechi za Simba na Yanga,the way Yanga wachezaji wake wanavyopambana na kuitaka mechi ni tofauti na Simba, Tarehe 16 utanielewaMmepata vibonde vyenu..mbona hizo fujo hazikuwepo kwa Ihefu 😀 😀
April 16 ndiyo itakua mwisho wako kuchangia humu kama ulivyoahidi😁Bye bye ya kwenda wapi?
MNimekwambia Yanga haimfungi Simba sasa mwisho wangu huo uko wapiApril 16 ndiyo itakua mwisho wako kuchangia humu kama ulivyomuahidi
Haya 3 days remainIla mkuu ukweli unaujua........ukiangalia mechi za Simba na Yanga,the way Yanga wachezaji wake wanavyopambana na kuitaka mechi ni tofauti na Simba, Tarehe 16 utanielewa
Itamfunga na goli la kwanza atafunga Super Ben mzee wa kuwakera 😀MNimekwambia Yanga haimfungi Simba sasa mwisho wangu huo uko wapi
Huyo kashazeeka ..kama ndo mnamweka benchi ili awe anasubiria derby mmchemsha safari hii..Itamfunga na goli la kwanza atafunga Super Ben mzee wa kuwakera 😀
Ungeahidi kuwa Yanga ikimfunga Simba 16/04/2023 mmoja wa Wananchi atatunukiwa chochote na wewe ingependeza sana Mtani...[emoji87]Huyo kashazeeka ..kama ndo mnamweka benchi ili awe anasubiria derby mmchemsha safari hii..
Sina tuzo za kutunukia watu hata hao Simba wenyewe ndo ije kuwa Vyura??? 😆 😆 😆 😆Ungeahidi kuwa Yanga ikimfunga Simba 16/04/2023 mmoja wa Wananchi atatunukiwa chochote na wewe ingependeza sana Mtani...[emoji87]
Super Ben mkimletea hizi jazba uwanjani mtajikuta mnakula Red Card kwenye penalty box 😂Huyo kashazeeka ..kama ndo mnamweka benchi ili awe anasubiria derby mmchemsha safari hii..
Supa Ben amebaki kama supa feoSuper Ben mkimletea hizi jazba uwanjani mtajikuta mnakula Red Card kwenye penalty box 😂
Nitakupa offer ya ticket kabisa ya viaipii ili usikose kushuhudia mkichinjwaHaya 3 days remain
Ofa tena? Yani mnyama anakuja kuwala halafu unipe ofa? Mm nakuja Daslam kushuhudia kwa gharama zangu 😆 😆 😆Nitakupa offer ya ticket kabisa ya viaipii ili usikose kushuhudia mkichinjwa
Basi jiandae kwenda sehemu nyingine kama hapa utaacha, maana kipigo Kipo pale paleNitaacha kushabikia humu jukwaani Yanga ikimfunga Simba trh 16
Itamfunga na goli la kwanza atafunga Super Ben mzee wa kuwakera [emoji3]
Either awafunge au awasababishie Red Card option ni yenu 😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani morison ndo aifunge simba acha utani mkuu
Kweli Mtani una roho mbaya sana sikutegemea ungekuwa mchoyo kiasi hiki, si ulipewa bure, Kwanini nawe usitoe bure tu ili wengine waneemeke? [emoji848][emoji30]Sina tuzo za kutunukia watu hata hao Simba wenyewe ndo ije kuwa Vyura??? [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Acha uoga 😀😀😀Ofa tena? Yani mnyama anakuja kuwala halafu unipe ofa? Mm nakuja Daslam kushuhudia kwa gharama zangu 😆 😆 😆