Kweli tafsiri ya mnyonge siku hizi imebadilila yaani hata mkishindwana kumfunga mwenzako kumbe siku hizi ni mnyonge kwa mwenzako.Takwimu zinaonyesha kwamba mara ya mwisho Yanga kuishinda Simba katika mechi ya Ligi ya Bara ni tarehe 03/07/2021. Hii ina maanisha kwamba Yanga imeshindwa kuifunga Simba na imekuwa mnyonge wa Simba katika Ligi ya Bara kwa muda wa miaka miwili mfululizo
03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
16/04/2023 Simba 2-0 Yanga
Inonga aondoke nchini anafunga magoli ya kikatili mnoTakwimu zinaonyesha kwamba mara ya mwisho Yanga kuishinda Simba katika mechi ya Ligi ya Bara ni tarehe 03/07/2021. Hii ina maanisha kwamba Yanga imeshindwa kuifunga Simba na imekuwa mnyonge wa Simba katika Ligi ya Bara kwa muda wa miaka miwili mfululizo
03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
16/04/2023 Simba 2-0 Yanga
Ndiwooooooooooh!!!!Inonga aondoke nchini anafunga magoli ya kikatili mno
Uliposema miaka miwili mfululizo, unajua maana ya neno mfululizo? Haya lete matokeo ya Simba kuifunga Yanga mfululizo yako wapi?Kwa nini unataka kuiondoa mechi ya jana wakati mimi nimesema 'hadi sasa'?
Akili itawakaa vizuri tu. Mliitumia kauli hii hii kuwa Simba imeshindwa kuifunga Yanga tangu 2019, kwani hizo sare hamkuwa mnaziona? Tulizeni mwikoUliposema miaka miwili mfululizo, unajua maana ya neno mfululizo? Haya lete matokeo ya Simba kuifunga Yanga mfululizo yako wapi?
Hakushinda elewa hakushindaYaani mtu unaamua kujitoa akili kabisa, kwahiyo kabka ya mechi ya jana Simba ilikuwa inachukulia sare kama ushindi kwenu? Yaani mechi zimeisha kwa sare lakini unasema Yanga alikuwa mnyonge.
sasa nani mnyonge hapo??kweli RAGE hakukoseaTakwimu zinaonyesha kwamba mara ya mwisho Yanga kuishinda Simba katika mechi ya Ligi ya Bara ni tarehe 03/07/2021. Hii ina maanisha kwamba Yanga imeshindwa kuifunga Simba na imekuwa mnyonge wa Simba katika Ligi ya Bara kwa muda wa miaka miwili mfululizo
03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
16/04/2023 Simba 2-0 Yanga
Au wachomoe tuuAkili itawakaa vizuri tu. Mliitumia kauli hii hii kuwa Simba imeshindwa kuifunga Yanga tangu 2019, kwani hizo sare hamkuwa mnaziona? Tulizeni mwiko