Yanga haijaishinda Simba katika Ligi ya Bara kwa miaka miwili sasa

Yanga haijaishinda Simba katika Ligi ya Bara kwa miaka miwili sasa

Takwimu zinaonyesha kwamba mara ya mwisho Yanga kuishinda Simba katika mechi ya Ligi ya Bara ni tarehe 03/07/2021. Hii ina maanisha kwamba Yanga imeshindwa kuifunga Simba na imekuwa mnyonge wa Simba katika Ligi ya Bara kwa muda wa miaka miwili mfululizo

03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
16/04/2023 Simba 2-0 Yanga
Umefanya jambo zuri sana kuweka matokeo ya ligi kuu tu.

Maana ungeweka na yale matokeo ya Ngao ya Jamii kwenye msimu wa mwaka juzi, na msimu huu! Pamoja na yale matokeo ya nusu fainali kombe la shirikisho la Azam msimu uliopita kule Mwanza; naona takwimu zako zingekuwa ni tofauti kabisa.
 
Umefanya jambo zuri sana kuweka matokeo ya ligi kuu tu.

Maana ungeweka na yale matokeo ya Ngao ya Jamii kwenye msimu wa mwaka juzi, na msimu huu! Pamoja na yale matokeo ya nusu fainali kombe la shirikisho la Azam msimu uliopita kule Mwanza; naona takwimu zako zingekuwa ni tofauti kabisa.
Nimetembea na lugha ile ile mliyokuwa mnatembea nayo utopolo. Mlikuwa mnasema Simba haijaishinda Yanga kwenye mechi za Ligi ya Bara tangu 2019. mlijua kabisa mkisema katika mashindano yote haitanoga, maana tarehe 25/07/2021 Simba iliifunga Yanga 1-0 katika fainali ya Azam Federation Cup kule Kigoma, maana mliona hapa 2021 ni juzi tu. Kwa hiyo na mimi ninazungumzia mechi za Ligi ya Bara, imepita miaka miwili
 
Nimetembea na lugha ile ile mliyokuwa mnatembea nayo utopolo. Mlikuwa mnasema Simba haijaishinda Yanga kwenye mechi za Ligi ya Bara tangu 2019. mlijua kabisa mkisema katika mashindano yote haitanoga, maana tarehe 25/07/2021 Simba iliifunga Yanga 1-0 katika fainali ya Azam Federation Cup kule Kigoma, maana mliona hapa 2021 ni juzi tu. Kwa hiyo na mimi ninazungumzia mechi za Ligi ya Bara, imepita miaka miwili
Uko sahihi kabisa! Kwa mara ya mwisho simba mliifunga Yanga 1-0 mwaka 2021 kwenye fainali za ASFC kule Kigoma!

Vipi sasa kuhusu Yanga! Wamewafunga mara ngapi kuanzia hiyo 2021? Naomba uniwekee matokeo yote hapa kama hutojali.
 
Takwimu zinaonyesha kwamba mara ya mwisho Yanga kuishinda Simba katika mechi ya Ligi ya Bara ni tarehe 03/07/2021. Hii ina maanisha kwamba Yanga imeshindwa kuifunga Simba na imekuwa mnyonge wa Simba katika Ligi ya Bara kwa muda wa miaka miwili mfululizo

03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
16/04/2023 Simba 2-0 Yanga
Umeleta hoja moja kubwa sana. Upotoshaji kwenye hili suala ulikuwa mkubwa sana. Watu walikuwa wanadanganya mchana kweupe na wengine kutokana na uvivu wa kufuatilia wakabeba uongo huo juu juu.
 
Badala ya Mods kujikita kufungia watu wasiostahili hovyo, wangejikita kupongeza watu wanaoleta nyuzi kama hizi.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Back
Top Bottom