Yanga haijawahi kuwa klabu ya maana kimataifa

Yanga haijawahi kuwa klabu ya maana kimataifa

Gwele

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2016
Posts
2,604
Reaction score
3,319
Tukiachana na kombe la shirikisho ambalo ndio Yanga wamewahi kupata mafanikio makubwa ya kufungwa fainali klabu hii ya Yanga haijawahi kuwa na mafanikio wala ubora wowote ule kimataifa

Yanga ndani ya miaka hii mitano imecheza klabu bingwa mara mbili na katika misimu yote Yanga imeshindwa kufikisha hata points 9 tu badala yake kila msimu wameishia kufikisha alama 8 pekee

Ukirejea kwa watani wao wakubwa Simba ambao wamecheza na kufuzu hatua ya makundi klabu bingwa kwa zaidi ya mara 4 ndani ya miaka hii mitano haijawahi hata kwa bahati mbaya kumaliza na points kiduchu (08) kiasi hicho.
Yanga wamecheza robo fainali moja ya klabu bingwa lakini hata hivyo walishindwa kushinda mchezo hata mmoja kati ya miwili mmoja nyumbani na ugenini na hawakubahatika kufunga hata goli moja kwenye hatua hiyo.

Yanga msimu huu akimaliza na points zake 8 kwenye kundi kama kawaida yake ameshindwa kuvuka hatua ya makundi kwa kuzuiwa na timu za kawaida mno Al Hilal ya sudan na MC Alger timu ambazo hata kwenye ranks za caf si miongoni hata mwa timu 10 bora africa.

Hebu fikiria hii ndio Yanga bora iliyotawala ligi ya ndani kwa misimu karibu mitatu lakini mpaka sasa wana robo fainali moja tu tena ya kuvuka kwa points 8

Ni kujifariji tu ukiwasikia wanayanga wakisema "We will bounce back stronger" lakini ukweli hata wao wanaujua Yanga hawana uwezo wowote wakushtua klabu bingwa afrika na hata hiyo robo fainali moja waliyoipata ilikuwa bahati na inaweza kupita zaidi ya miaka mitano kupata robo fainali nyingne ya klabu bingwa
 
Yanga Simba wote walewale tu. zingekuwa klabu za maana zingekua na kombe la kuonesha.
 
Kwa nini unasema tuachane na fainali ya shirikisho mkuu...,

Mi nina mashaka na Happ.
 
Tukiachana na kombe la shirikisho ambalo ndio Yanga wamewahi kupata mafanikio makubwa ya kufungwa fainali klabu hii ya Yanga haijawahi kuwa na mafanikio wala ubora wowote ule kimataifa

Yanga ndani ya miaka hii mitano imecheza klabu bingwa mara mbili na katika misimu yote Yanga imeshindwa kufikisha hata points 9 tu badala yake kila msimu wameishia kufikisha alama 8 pekee

Ukirejea kwa watani wao wakubwa Simba ambao wamecheza na kufuzu hatua ya makundi klabu bingwa kwa zaidi ya mara 4 ndani ya miaka hii mitano haijawahi hata kwa bahati mbaya kumaliza na points kiduchu (08) kiasi hicho.
Yanga wamecheza robo fainali moja ya klabu bingwa lakini hata hivyo walishindwa kushinda mchezo hata mmoja kati ya miwili mmoja nyumbani na ugenini na hawakubahatika kufunga hata goli moja kwenye hatua hiyo.

Yanga msimu huu akimaliza na points zake 8 kwenye kundi kama kawaida yake ameshindwa kuvuka hatua ya makundi kwa kuzuiwa na timu za kawaida mno Al Hilal ya sudan na MC Alger timu ambazo hata kwenye ranks za caf si miongoni hata mwa timu 10 bora africa.

Hebu fikiria hii ndio Yanga bora iliyotawala ligi ya ndani kwa misimu karibu mitatu lakini mpaka sasa wana robo fainali moja tu tena ya kuvuka kwa points 8

Ni kujifariji tu ukiwasikia wanayanga wakisema "We will bounce back stronger" lakini ukweli hata wao wanaujua Yanga hawana uwezo wowote wakushtua klabu bingwa afrika na hata hiyo robo fainali moja waliyoipata ilikuwa bahati na inaweza kupita zaidi ya miaka mitano kupata robo fainali nyingne ya klabu bingwa
Sijasoma hii insha ila mwaka juzi Yanga kacheza final ya kombe la shirikisho na pia walinyang'anywa nafasi yao ya kwenda nusu final caf champion league wewe unataka iwe klabu ya maana Kwa tukio gani?? ifike hatua tukubaliane kuwa jf Kuna watu wazima tu.
 
Sijasoma hii insha ila mwaka juzi Yanga kacheza final ya kombe la shirikisho na pia walinyang'anywa nafasi yao ya kwenda nusu final caf champion league wewe unataka iwe klabu ya maana Kwa tukio gani?? ifike hatua tukubaliane kuwa jf Kuna watu wazima tu.
Yanga ilinyanganywa wapi nafasi ya kwenda nusu fainali wakati ilicheza dk 180 bila kufunga goli hata moja na kwenye matuta wakawa wanapaisha tu kama wachezaji wa ndondo
 
Back
Top Bottom