Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi ona alikonyang'anywa Kwa 7bu umejipanga kuona mabaya ya Yanga tu na si mazuriYanga ilinyanganywa wapi nafasi ya kwenda nusu fainali wakati ilicheza dk 180 bila kufunga goli hata moja na kwenye matuta wakawa wanapaisha tu kama wachezaji wa ndondo
HIyo si ni picha baada ya kufungwa fainali? Sasa kufungwa fainali tangu lini yakawa ni mafanikio?Nioneshe club nyingine zaidi ya Yanga yenye picha kama hii Tanzania View attachment 3208100
Elezea na mazuri ya YangaNimeeleza madhaifu ya yanga klabu bingwa
Side boy FC.HaoRobo Fainali mara moja ndani ya miaka 30 lakini Makelele meengi kama anabakwa
Sasa kama unajua hivyo unataka la maana lipi Mzee au unataka akacheze bundasligaMbona nimeeleza hapo kuwa Yanga ni mabingwa wa ligi ya ndani mara 3 mfululizo