Sasa Mimi ni according to Twitter account.According to jarida la turkey
Unafahamu Yanga ana followers chini ya 1 mil.?
Unafahamu ya kuwa Simba ana 1.2 mil followers?
Ni kweli kabisa ila wanayanga wanaiaibisha klabu Yao , yaani kule Twitter Yanga klabu kubwa inakuwa na below 500K?Kilichoangaliwa siyo wingi wa followers!! Ushawishi katika kipindi cha mwezi May!!
Vinaangaliwa vitu vingine kabisa moja wapo ni uactive wa followers wako, repost, reply na hata post yako ilivyotembea kwenye mitandao!!
Bro we ni muongo
Futa uongo wako sasahivi, Yanga ana followers below 300K Twitter, Simba ana followers 1.3 mil.
Ni kweli unachosema ila sasa Kuna Faida Gani ya kuwa na ushawishi mkubwa bila kuwashawishi watu wakufollow?Kilichoangaliwa siyo wingi wa followers!! Ushawishi katika kipindi cha mwezi May!!
Vinaangaliwa vitu vingine kabisa moja wapo ni uactive wa followers wako, repost, reply na hata post yako ilivyotembea kwenye mitandao!!
Mbona hawajawasaidia kubeba hata kombe la uji mwaka wa pili sasaUnafahamu Yanga ana followers chini ya 1 mil.?
Unafahamu ya kuwa Simba ana 1.2 mil followers?
Mimi sishabikii klabu yoyote hapa Bongo ndo maana kwenye screenshot pic kutoka akaunti yangu ya Twitter unaona sijafollow klabu yoyote.Mbona hawajawasaidia kubeba hata kombe la uji mwaka wa pili sasa
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app