Kama hajakuelewa .....tumtumie notes kabisa[emoji23]Kilichoangaliwa siyo wingi wa followers!! Ushawishi katika kipindi cha mwezi May!!
Vinaangaliwa vitu vingine kabisa moja wapo ni uactive wa followers wako, repost, reply na hata post yako ilivyotembea kwenye mitandao!!
Hapana bro, Yanga wako muda mrefu sana mtandaoni, sema mashabiki wa Yanga ndo mnagoma kufollow au wengi wenu hamtumii Twitter.Kumbuka Yanga hawakuwekeza sana mtandaoni
Alafu utakuta una familia na inakutegemea kabisa [emoji23][emoji23]Yanga ilibustiwa ilipocheza na Simba na kukandwa na Kibu D. Yanga washukuru sana mipaka ya mkoloni iliyosababisha kujikuta katika ligi moja na Simba, hivihivi mngekuwa mnaiona kwenye TV tu kama Real Madrid.
Makombe vpi[emoji23]SIMBA ANAWAFUASI WENGI ZAIDI.
1. Ukiweka MICHANGO Simba anaongoza.
2. Social Media/ mitandao ya kijamii Simba anaongoza mbali mno.
3.Kujaa Uwanjani.
Simba anaongoza mbali mno.
TATIZO KUBWA YANGA WENYE AKILI JI WAWILI TU.
Wanamuingiza hasara mwamediMbona hawajawasaidia kubeba hata kombe la uji mwaka wa pili sasa
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Masahihisho:Unafahamu Yanga ana followers chini ya 1 mil.?
Unafahamu ya kuwa Simba ana 1.2 mil followers?
Wengi walikuwa hawapendi kujitambulisha kama mwanayanga maana ilikuwa ni aibu na fedheha. Ni sasa hivi kidogo juhudi zimefanyika imekuwa kidogo "cool" hata kuvaa jezi za Haier hadi unaona hata pisi zinavaa jezi zao. Wamesogea si uongo.Hapana bro, Yanga wako muda mrefu sana mtandaoni, sema mashabiki wa Yanga ndo mnagoma kufollow au wengi wenu hamtumii Twitter.
hio ni instaFuta uongo wako sasahivi, Yanga ana followers below 300K Twitter, Simba ana followers 1.3 mil.
Uzi huu unahusu Twitter mkuu.hio ni insta
Kuna iununua followers! Usisahau hilo.Unafahamu Yanga ana followers chini ya 1 mil.?
Unafahamu ya kuwa Simba ana 1.3 mil followers?
Baba kabisa mwenye nyumba, sharubu na kitambi, just imagine....Alafu utakuta una familia na inakutegemea kabisa [emoji23][emoji23]
Wewe nae hebu acha uwongo wako.Instagram Simba ana 5M followers na Uto ana 2.5Mhio ni insta
Yanga wanajitafuta.....soon watamshusha Al ahlyMasahihisho:
Simba: 1.3 million.
Yanga: 360k.
Kikichoifanya Yanga kuwa na ushawishi mwezi Mei ni kushiriki fainali ya CAF ahirikisho. Zaidi ya hapo Simba anakuwa juu zaidi ya timu zote ukanda wa CECAFA,siyo juu ya Yanga tu pekee.