Wechezaji wazawa wenye akili kama huyu ni wachache sana, mkataba unakaribia kufikia ukingoni Menejimenti ya mchezaji wamekaa mezani na Timu wamekubaliana na kuongeza mkataba na si kama yule Zuwena kukimbia kambi na kuanza kupiga kelele kama waimba taarab!
View attachment 2589601