Yanga hata kama wakifungwa tarehe 8 always viongozi na mashabiki watakua positive ila tatizo ni upande wa Simba

Wewe utakua una ugulia maumivu!!!
Ila kumbuka wengi ndio hushinda so kama wengi wenu ndio wanaotukana na kusema maneno makali kwa viongozi basi wote tuna conclude nyie ni.....so hata wewe utakua among them.
Sina cha kukusaidia endelea kung'ata meno...maneno yako hayabadilishi jua kuwa giza...
 
Am good...vipi ww jamani? Unapotea sana huku...
Nipo dada, majukumu tu. Nashukuru Mungu i am fine kabisa. Nimefurahi kusikia upo poah. Tufanye catch up bhn, mwaka usiishe tafadhali, haha
 
5imba ndio wataksofungwa weeeh!!
Wait and seeπŸ’šπŸ’›πŸ–€πŸ’ͺ


Daima mbeleeeee πŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•Ί

Cc Smart911
 
Jidanganye. Kati ya mashabiki ambao sio wavumilivu basi ni wa Uto. Yaani huwa wanamrushia hadi makopo kocha na kuzomea wachezaji wao wakifanya vibaya. Wewe unafikiri Kwa nini luc eymel aliwaita mnabweka kama mambwa, manyani, uneducated?
 
Naapa mbele ya Mungu wangu ata kama mpira una maajabu ila simba hii haiwezi kuifunga yanga piga uwa galagaza ata droo ni big no Goli zitaanzia nne kwenda juu.
😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…