Yanga hatoshinda leo

bitebo7

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2015
Posts
858
Reaction score
597
Niwaambie tu ukweli Mashabiki wote wa Utopolo, ukiachana na mambo yetu ya utani wa jadi ila ukweli ni kwamba leo hamtoboi!

Kwa mazingira yoyote yale sioni Utopolo wakipata matokeo ya ushindi.

Poleni sana.
 
Niwaambie tu ukweli Mashabiki wote wa Utopolo, ukiachana na mambo yetu ya utani wa jadi ila ukweli ni kwamba leo hamtoboi!

Kwa mazingira yoyote yale sioni Utopolo wakipata matokeo ya ushindi.

Poleni sana.
Usikimbie uzi ikifika saa 3
 
Hizi ndio haki za msingi zinazodaiwa na wanaharakati "haki ya kutoa maoni", Ila Kuna nyakati lazima tupime maoni tunayoyatoa...mbafuuu zako kolokwinyooo
 
Hizi ndio haki za msingi zinazodaiwa na wanaharakati "haki ya kutoa maoni", Ila Kuna nyakati lazima tupime maoni tunayoyatoa...mbafuuu zako kolokwinyooo
YANGA HASHINDI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…