Yanga hatoshinda leo

Yanga hatoshinda leo

Niwaambie tu ukweli Mashabiki wote wa Utopolo, ukiachana na mambo yetu ya utani wa jadi ila ukweli ni kwamba leo hamtoboi!

Kwa mazingira yoyote yale sioni Utopolo wakipata matokeo ya ushindi.

Poleni sana.
Wewe unadhani Yanga kama nyinyi timu yenu inayocheza uharo mtupu idiot
 
Back
Top Bottom