Yanga hatupeleki timu mwamuzi wa mechi ya Azam na Simba amekiuka kanuni

Sisi hatukubali kupeleka timu kucheza na Simba kwani goli lao halikuwa halali.

Kwa nini sisi TFF inatuonea jamani?
Aisee umeandika kwa uchungu sana, nimejikuta nacheka badala ya kukuhurumia.[emoji23][emoji23]
 
Ila mnyama ni hatari sijui utopolo atasingizia nn
 
Sisi hatukubali kupeleka timu kucheza na Simba kwani goli lao halikuwa halali.

Kwa nini sisi TFF inatuonea jamani?
😁😁😁 naona unataka ugomvi ngoja deportivo toleo la kwanza waje na mapanga
 
Sisi hatukubali kupeleka timu kucheza na Simba kwani goli lao halikuwa halali.

Kwa nini sisi TFF inatuonea jamani?
Mwaka huu tutawakeketa mchana kweupeeeeee,tarehe 3 July,Kigoma tutawapasua mbaya na ngao ya hisani tunawabokoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…