Deni kama deniWana hasira hao Mayele bado anadaiwa deni..wamebaki na point yao ya gape la point.
Kwani hapa ilikuwaje ndani ya msimu huuKama Simba hii iliyofungwa na mbeya city+ kagera wanafika robo Leo yanga hii ambayo inaongoza ligi bila kufungwa ndio washindwe kufurukuta?
baada ya ile mechi ya ngao ya jamii mkajipa moyo clabu bingwa mtatesa ilikuwaje hapo uto wasahaulifu sanaKama mechi ya leo ni kipimo, vipi Simba imepata jibu gani kwa kutoa sare na Yanga?
😀 Mayele, juma,Bangala,Aucho na moloko uliwaona uwanjan?
Kikosi kilikuwa hiki? Pole kolo 😀baada ya ile mechi ya ngao ya jamii mkajipa moyo clabu bingwa mtatesa ilikuwaje hapo uto wasahaulifu sana
👇👇👇
View attachment 2206645
Uyo Mayele unaembeza ndo top scorer wa ligi mpaka sasa. Chagua wachezaji wa timu yenu wawili wakali na top scorers katika timu yenu kisha jumlisha magoli yao, hakuna atakayemfikia Mayele kamweeWana hasira hao Mayele bado anadaiwa deni..wamebaki na point yao ya gape la point.
Huko Simba abanwe nan? Mbona wote km mabeki 😀Sema yanga mdomo mwingi sana, halafu kumbe ukimbana mayele tu kwisha habari yao.
Hicho kitu ulichokiona kwa simba ndo natamani na ninyi yanga muwe nacho, kuwa team work ni muhimu kuliko mchezaji mmoja mmoja. Nafurahi unaakili nyepesi ya kuelewa mamboHuko Simba abanwe nan? Mbona wote km mabeki 😀
Kwa mtiririko wako wa hoja iko hivi, Yanga hawezi kufurukuta Club bingwa kwa sababu kashindwa kumfunga Simba. Simba ambaye naye kashindwa kumfunga Yanga alifika robo fainali.Baada ya kuangalia mchezo wa leo baina ya Simba na Yanga, ni dhahiri yanga hawana timu ya kufanya maajabu ligi ya mabingwa msimu ujao.
Timu imejengwa kumzunguka mtu mmoja tu kiasi kwamba akishadhibitiwa basi tu inatepeta.
Simba ndio kipimo cha watakachokutana nacho ligi ya mabingwa. Kama Yanga wako serious wanatakiwa kusajili hasa wachezaji wenye uwezo wa kuamua michezo migumu. Sio hawa kina sure boy..
View attachment 2206582
Deni limeota mbawa..Kama mechi ya leo ni kipimo, vipi Simba imepata jibu gani kwa kutoa sare na Yanga?
Na point katika msimamo wa ligi zimeota mbawa piaDeni limeota mbawa..
Mlianza na kusema round ya pili mnaamka, haya round ya pili ndio hiyo ina yoyoma, mara hoo mkasema mechi nne yanga atapoteza ikiwemo ya Azam zote Yanga kashinda, mara hoo mkasema mtiapiga ya Yanga kwa mkapa mechi droo. Leo naona mmehamisha magoli kwenye CAF champions, kwani nyie kwa usajili alio ufanya Yanga msimu mliopita mmlishawahi kufikiria msimu huu Yanga itakuwa hivi, tena na muunganiko mkubwa wachezaji wamelewana ndani ya mda mfupi na kuipa matokeo Yanga.Baada ya kuangalia mchezo wa leo baina ya Simba na Yanga, ni dhahiri yanga hawana timu ya kufanya maajabu ligi ya mabingwa msimu ujao.
Timu imejengwa kumzunguka mtu mmoja tu kiasi kwamba akishadhibitiwa basi tu inatepeta.
Simba ndio kipimo cha watakachokutana nacho ligi ya mabingwa. Kama Yanga wako serious wanatakiwa kusajili hasa wachezaji wenye uwezo wa kuamua michezo migumu. Sio hawa kina sure boy..
View attachment 2206582