Yanga haya magoli 14 mnayozidiwa na Simba kayafunga Mayele?

Yanga haya magoli 14 mnayozidiwa na Simba kayafunga Mayele?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kila siku mnapiga kelele humu kwamba Fowadi ya simba ni mbovu. Simba imewazidi Yanga Magoli 14 mpaka sasa, hayo magoli yote mliozidiwa yalifungwa na Mayele?

Mchezaji wenu wa kawaida sana mnayemsifia kama vile ni malaika toka mbingu ya Soka aliyeachiwa upako na Pele.

Hebu acheni mambo yenu!
 
Kila siku mnapiga kelele humu kwamba Fowadi ya simba ni mbovu. Simba imewazidi Yanga Magoli 14 mpaka sasa, hayo magoli yote mliozidiwa yalifungwa na Mayelle?? Mchezaji wenu wa kawaida sana mnayemsifia kama vile ni malaika toka mbingu ya Soka aliyeachiwa upako na Pele!!!!

Hebu acheni mambo yenu!!
Wanasema wao muhimu point tatu.

Wanasema pia wakishaongozaga goli mbili uwa wana-rotate Kikosi kuwapa nafasi wale wasiopata sana namba na chipukizi/damu changa ndo maana wameibua kipaje Cha dogo Mzize.
 
Wanasema wao muhimu point tatu.

Wanasema pia wakishaongozaga goli mbili uwa wana-rotate Kikosi kuwapa nafasi wale wasiopata sana namba na chipukizi/damu changa ndo maana wameibua kipaje Cha dogo Mzize.
Wanauliza pia inakuaje Simba unakuta wanaongoza goli 3+ lakini Bado wanaacha wazee waendelee na wakati mechi inakua kama imeshaisha kwanini hawawapi nafasi wale wasioanza sana na machipukizi kama kina Mohammed Mussa ata dk 10 za mwisho na wao wapate experience
 
Simba hata wakifunga Magoli 1000 kinacho hitajika point 3, Mayele ata akiwa anafunga goli Moja Kwa Kila mechi mradi goli lake linathamani ya point 3 basi Magoli ya Simba ni useless.

NB: Mpaka Sasa hakuna mchezaji yoyote pale Simba anaye mfikia Mayele Kwa Magoli katika NBC premier league.
Ukinuna uwe na Sababu.
 
Mpira sio uadui boss
FB_IMG_16793033411026056.jpg
 
Simba ata wakifunga Magoli 1000 kinacho hitajika point 3, Mayele ata akiwa anafunga goli Moja Kwa Kila mechi mradi goli lake linathamani ya point 3 basi Magoli ya Simba ni useless...
Angalia "Ratio" ya magoli ya Bareke kwa mechi alizocheza na Magoli aliyofunga Mayelle. Mayelle ni mchezaji wa kawaida sana ili kawajua kuwa akijitetemesha mnamuona kama Klian Mbappe!!
 
Kila siku mnapiga kelele humu kwamba Fowadi ya simba ni mbovu. Simba imewazidi Yanga Magoli 14 mpaka sasa, hayo magoli yote mliozidiwa yalifungwa na Mayelle?? Mchezaji wenu wa kawaida sana mnayemsifia kama vile ni malaika toka mbingu ya Soka aliyeachiwa upako na Pele!!!!

Hebu acheni mambo yenu!!
Juzi mayele hakugusa mpira
 
Kila siku mnapiga kelele humu kwamba Fowadi ya simba ni mbovu. Simba imewazidi Yanga Magoli 14 mpaka sasa, hayo magoli yote mliozidiwa yalifungwa na Mayelle?? Mchezaji wenu wa kawaida sana mnayemsifia kama vile ni malaika toka mbingu ya Soka aliyeachiwa upako na Pele!!!!

Hebu acheni mambo yenu!!
Magoli 11 yote yalitokana na ushindi wa mchongo wa kadi nyekundu kwa Mtibwa Sugar na Ruvu Shooting.

Mbumbumbu ni Mbumbumbu tu hawezi kupingana na kauli ya Aden Rage.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Angalia "Ratio" ya magoli ya Bareke kwa mechi alizocheza na Magoli aliyofunga Mayelle. Mayelle ni mchezaji wa kawaida sana ili kawajua kuwa akijitetemesha mnamuona kama Klian Mbappe!!
Kama Mayele wa Kawaida muulize Aishi Manura, imefikia hatua ikikaribia mechi na Yanga anaumia Kidole.

Yaani yukotayari kujipiga nyundo ya Kidole kuliko kucheza dhidi ya Mayele.

Fedheha zote amemwachia Beno Kakolanya.

NB: katika ligi ya NBC timu ambazo hazijawahi kufungwa na Mayele hazizidi mbili alafu unasema Mayele wakawaida.
 
Back
Top Bottom