demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
DaaaaH umeongea point Sana jamaaa ujue watu wengi sasa wanaendeshwa na mihemko wanashindwa kutambua kuwa mambo yanawakat.. huwez kuwa bora kipnd chote ni lazma tujifunze kuwa wavumilivu kama kocha mbovu itajulikana tu hakuna haja ya kuwa na jazba kwasabab ya mechi mbili za mwanzo
Kuna jambo ambalo watu wengu hawalitambui linalo endelea pale Jangwani.
jambo hilo linaitwa "usimikwaji wa kizazi kipya".
Kinachofanywa hivi sasa na Yanga ni kuandaa na kutengeneza kizazi kipya cha wanajangwani ambao watahakikisha kinafanya makubwa kama hiki kizazi kinachomaliza muda wake pale jangwani na mafanikio lukuki
mfano:- (Yondani, Nadir, Niyonzima, Abdul, O Joshua,).
Tofauti na mtindo wetu wa awali wa recruiting new ready made player, hivi sasa tunajaribu kuandaa wale ambao tunaona huko mbeleni watakuwa msingi bora wa klabu na kuendeleza rekodi ya kutwaa mataji kama ilivyo kawaida yetu.
Kuna jambo mbele ambalo linaonekana hivyo kwa taadhari kubwa ikaonekana ni vyema hii hatua ichukuliwe mapema.
"wabongotumezoea mteremko na shortcut, ndio maana mleta mada ameanza moja kwa moja kumlalamikia GL. "