Yanga huwa inawaachia gundu wachezaji inaowaacha, kwanini?

Yanga huwa inawaachia gundu wachezaji inaowaacha, kwanini?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Huwezi kuiacha Yanga ukaenda kutafuta maisha kwingine ukafanikiwa, ukiacha Simon Msuva ambaye akiwastukia hiyo kitu nakwenda kutakaswa Tanga maeneo ya Maweni, wengine wote huko wanakokwenda huwa ndio meisho wake,gundu hili pia linahamia kwa makocha,le profeseli Nabi anakwenda kutimuliwa muda si mrefu.

Za chini ya kapeti ni kuwa huwa wanaliswa yamini au kiapo cha nadhiri kama ndoa ya kikristo. Papaa Mwinyi Zahera a multi milkionaire aliyewahi kuwa kocha na mfadhili wa Yanga anajuta kuijua Yanga, Cedrick Kaze ana point moja kwa mechi nne sijui tatu, kuna akina Papii Tshishimbi, Amis Tambwe waliondoka wakiwa wa moto nikaskia wapo Kitayose.Makambo sasa hivi hata kupiga danadana mbili hawezi.
Feisal hata kutuliza mpira hawezi tena anapiga shoot mwisho mita kumi tu
Je huu ni uungwana

Nitajieni wachezaji watatu tu wa Yanga waliobaki na ubora wao baada ya kutoka Yanga
 
Huwezi kuiacha Yanga ukaenda kutafuta maisha kwingine ukafanikiwa,ukiacha Simon Msuva ambaye akiwadtukua hiyo kitu nakwenda kutakaswa Tanga maeneo ya Maweni,wengine wote huko wanakokwenda huwa ndio meisho wake,gundu hili pia linahamia kwa makocha,le profeseli Nabi anakwenda kutimuliwa muda si mrefu.
Za chini ya kapeti ni kuwa huwa wanaliswa yamini au kiapo cha nadhiri kama ndoa ya kikristo.Papaa Mwinyi Zahera a multi milkionaire aliyewahi kuwa kocha na mfadhili wa Yanga anajuta kuijua Yanga,Cedrick Kaze ana point moja kwa mechi nne sijui tatu,kuna akina Papii Tshishimbi,Amis Tambwe waliondoka wakiwa wa moto nikaskia wapo Kitayose.
Je huu ni uungwana
Umekula leo mkuu
 
Hiyo kweli
Yanga usitoke kwa dharau
Kumbuka kilichowapata akina
Kavumbagu
Domayo
Niyonzima
Juma abdul
Kessy
Yondani
Djuma shaban
Tshishimbi
Bangala
Feisal
Tuliempa baraka zote ni Msuva na Mayele tu
 
Hiyo kweli
Yanga usitoke kwa dharau
Kumbuka kilichowapata akina
Kavumbagu
Domayo
Niyonzima
Juma abdul
Kessy
Yondani
Djuma shaban
Tshishimbi
Bangala
Feisal
Tuliempa baraka zote ni Msuva na Mayele tu
Umemsahau na Ajib
 
Nonda shabani aliyecheza kwa mafanikio Makubwa ulaya alipitia yanga
Mimi nilikwepo enzi za nonda ni miaka ya 90 yule walimuona garasa alikuwa anawekwa benchi na Mohamed Hussein mmachinga,So yanga walimchykulia poa,isitoshe huyu mchawi wa Yanga alikuwa hajaanza kazi
 
Mimi nilikwepo enzi za nonda ni miaka ya 90 yule walimuona garasa alikuwa anawekwa benchi na Mohamed Hussein mmachinga,So yanga walimchykulia poa,isitoshe huyu mchawi wa Yanga alikuwa hajaanza kazi
Kweli we mkongwe
 
Back
Top Bottom