Yanga huwa inawaachia gundu wachezaji inaowaacha, kwanini?

Yanga huwa inawaachia gundu wachezaji inaowaacha, kwanini?

Huwezi kuiacha Yanga ukaenda kutafuta maisha kwingine ukafanikiwa, ukiacha Simon Msuva ambaye akiwastukia hiyo kitu nakwenda kutakaswa Tanga maeneo ya Maweni, wengine wote huko wanakokwenda huwa ndio meisho wake,gundu hili pia linahamia kwa makocha,le profeseli Nabi anakwenda kutimuliwa muda si mrefu.

Za chini ya kapeti ni kuwa huwa wanaliswa yamini au kiapo cha nadhiri kama ndoa ya kikristo. Papaa Mwinyi Zahera a multi milkionaire aliyewahi kuwa kocha na mfadhili wa Yanga anajuta kuijua Yanga, Cedrick Kaze ana point moja kwa mechi nne sijui tatu, kuna akina Papii Tshishimbi, Amis Tambwe waliondoka wakiwa wa moto nikaskia wapo Kitayose.Makambo sasa hivi hata kupiga danadana mbili hawezi.
Feisal hata kutuliza mpira hawezi tena anapiga shoot mwisho mita kumi tu
Je huu ni uungwana

Nitajieni wachezaji watatu tu wa Yanga waliobaki na ubora wao baada ya kutoka Yanga
Hahaaaaa, ninecheka sana eti makambo hata kupiga danadana hawezi ila FEI sasa 😄😉😆😩🤣😂😁😀
 
Huwezi kuiacha Yanga ukaenda kutafuta maisha kwingine ukafanikiwa, ukiacha Simon Msuva ambaye akiwastukia hiyo kitu nakwenda kutakaswa Tanga maeneo ya Maweni, wengine wote huko wanakokwenda huwa ndio meisho wake,gundu hili pia linahamia kwa makocha,le profeseli Nabi anakwenda kutimuliwa muda si mrefu.

Za chini ya kapeti ni kuwa huwa wanaliswa yamini au kiapo cha nadhiri kama ndoa ya kikristo. Papaa Mwinyi Zahera a multi milkionaire aliyewahi kuwa kocha na mfadhili wa Yanga anajuta kuijua Yanga, Cedrick Kaze ana point moja kwa mechi nne sijui tatu, kuna akina Papii Tshishimbi, Amis Tambwe waliondoka wakiwa wa moto nikaskia wapo Kitayose.Makambo sasa hivi hata kupiga danadana mbili hawezi.
Feisal hata kutuliza mpira hawezi tena anapiga shoot mwisho mita kumi tu
Je huu ni uungwana

Nitajieni wachezaji watatu tu wa Yanga waliobaki na ubora wao baada ya kutoka Yanga
wachezaji wakija yanga,yanga ndo inawafanya hao wachezaji waonekane bora...wachezaji wakienda simba,hao wachezaji ndo wanaopambana kuifanya simba ionekane bora...
 
Huwezi kuiacha Yanga ukaenda kutafuta maisha kwingine ukafanikiwa, ukiacha Simon Msuva ambaye akiwastukia hiyo kitu nakwenda kutakaswa Tanga maeneo ya Maweni, wengine wote huko wanakokwenda huwa ndio meisho wake,gundu hili pia linahamia kwa makocha,le profeseli Nabi anakwenda kutimuliwa muda si mrefu.

Za chini ya kapeti ni kuwa huwa wanaliswa yamini au kiapo cha nadhiri kama ndoa ya kikristo. Papaa Mwinyi Zahera a multi milkionaire aliyewahi kuwa kocha na mfadhili wa Yanga anajuta kuijua Yanga, Cedrick Kaze ana point moja kwa mechi nne sijui tatu, kuna akina Papii Tshishimbi, Amis Tambwe waliondoka wakiwa wa moto nikaskia wapo Kitayose.Makambo sasa hivi hata kupiga danadana mbili hawezi.
Feisal hata kutuliza mpira hawezi tena anapiga shoot mwisho mita kumi tu
Je huu ni uungwana

Nitajieni wachezaji watatu tu wa Yanga waliobaki na ubora wao baada ya kutoka Yanga
Umemsahau Nabi na Morrison timu' Yao imetolewa CAF Champions league Hawana pa kwenda kimataifa Kwani utaratibu wa kuangukia losers' Cup kama Yanga mwaka Jana Safari hii haupo
 
Huwezi kuiacha Yanga ukaenda kutafuta maisha kwingine ukafanikiwa, ukiacha Simon Msuva ambaye akiwastukia hiyo kitu nakwenda kutakaswa Tanga maeneo ya Maweni, wengine wote huko wanakokwenda huwa ndio meisho wake,gundu hili pia linahamia kwa makocha,le profeseli Nabi anakwenda kutimuliwa muda si mrefu.

Za chini ya kapeti ni kuwa huwa wanaliswa yamini au kiapo cha nadhiri kama ndoa ya kikristo. Papaa Mwinyi Zahera a multi milkionaire aliyewahi kuwa kocha na mfadhili wa Yanga anajuta kuijua Yanga, Cedrick Kaze ana point moja kwa mechi nne sijui tatu, kuna akina Papii Tshishimbi, Amis Tambwe waliondoka wakiwa wa moto nikaskia wapo Kitayose.Makambo sasa hivi hata kupiga danadana mbili hawezi.
Feisal hata kutuliza mpira hawezi tena anapiga shoot mwisho mita kumi tu
Je huu ni uungwana

Nitajieni wachezaji watatu tu wa Yanga waliobaki na ubora wao baada ya kutoka Yanga
😆😆😆😆 Umemaliza hakuna
 
Huwezi kuiacha Yanga ukaenda kutafuta maisha kwingine ukafanikiwa, ukiacha Simon Msuva ambaye akiwastukia hiyo kitu nakwenda kutakaswa Tanga maeneo ya Maweni, wengine wote huko wanakokwenda huwa ndio meisho wake,gundu hili pia linahamia kwa makocha,le profeseli Nabi anakwenda kutimuliwa muda si mrefu.

Za chini ya kapeti ni kuwa huwa wanaliswa yamini au kiapo cha nadhiri kama ndoa ya kikristo. Papaa Mwinyi Zahera a multi milkionaire aliyewahi kuwa kocha na mfadhili wa Yanga anajuta kuijua Yanga, Cedrick Kaze ana point moja kwa mechi nne sijui tatu, kuna akina Papii Tshishimbi, Amis Tambwe waliondoka wakiwa wa moto nikaskia wapo Kitayose.Makambo sasa hivi hata kupiga danadana mbili hawezi.
Feisal hata kutuliza mpira hawezi tena anapiga shoot mwisho mita kumi tu
Je huu ni uungwana

Nitajieni wachezaji watatu tu wa Yanga waliobaki na ubora wao baada ya kutoka Yanga
Nabii alikuwa na historia ya kufukuzwa kila mara, Yanga ilisimama nae ndio kupata mafanikio aliyonayo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Ben Kakolanya si kaupiga Jangwani?
 
Huwezi kuiacha Yanga ukaenda kutafuta maisha kwingine ukafanikiwa, ukiacha Simon Msuva ambaye akiwastukia hiyo kitu nakwenda kutakaswa Tanga maeneo ya Maweni, wengine wote huko wanakokwenda huwa ndio meisho wake,gundu hili pia linahamia kwa makocha,le profeseli Nabi anakwenda kutimuliwa muda si mrefu.

Za chini ya kapeti ni kuwa huwa wanaliswa yamini au kiapo cha nadhiri kama ndoa ya kikristo. Papaa Mwinyi Zahera a multi milkionaire aliyewahi kuwa kocha na mfadhili wa Yanga anajuta kuijua Yanga, Cedrick Kaze ana point moja kwa mechi nne sijui tatu, kuna akina Papii Tshishimbi, Amis Tambwe waliondoka wakiwa wa moto nikaskia wapo Kitayose.Makambo sasa hivi hata kupiga danadana mbili hawezi.
Feisal hata kutuliza mpira hawezi tena anapiga shoot mwisho mita kumi tu
Je huu ni uungwana

Nitajieni wachezaji watatu tu wa Yanga waliobaki na ubora wao baada ya kutoka Yanga
Wachawi sana Yanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom