Yanga ichukuliwe hatua kwa uharibifu iliyofanya juzi uwanja wa Mkapa

Kweli wahenga walisema akili ni nywele ila hawa kuidentify za eneo lipi.
 
Kama picha za video zipo, YANGAwazikabidhi polisi, watafutwe hao wahuni. No matter ni mashabiki wao au wa jirani.
Wakishakutiwa nguvuni walipishwe.
YANGA mnakubali vipi kuharibiwa jina.
 
Wafanya fujo tunawajua ni kina nani siku zote. Hawajifichi wala kuona haya kuonyesha umbumbumbu wao kwa hili nakiri makolo ilikua mbinu ya kutukomoa ili mradi kupunguza machungu ya zile tano zilizoambatana na mabango ambayo yalizidi kuongeza uchungu. Hongereni sana pamoja viongozi wenu wafanya maamuzi walioamua haya
 
Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tu pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…