Yanga Ifungue Chuo Kikuu cha Soka

Yanga Ifungue Chuo Kikuu cha Soka

Mi niliwahi kusema humu jf kuwa Yanga ni Brand kubwa, ukiangalia nyomi na mzuka wa mashabiki wa Yanga uwanjani nchi nzima utaona fursa kubwa ya kupiga pesa isiyotumika.

Yanga ina wajibu kuanzisha kiwanda cha vinywaji baridi, maji na maziwa na vinywaji kuviweka lebel ya Yanga, hakika yule kanjibai atasema shikamoo Eng Hersi sababu wanayanga tutanunua sana kama njia ya kusupport timu.

Mradi mwingine ni kuweka Petrol stations zenye lebel ya Yanga, wanayanga wenye magari watanunua mafuta kuisupport Yanga

Miradi hii inaweza kufanywa kwa ubia na viwanda au petrol stations zilizo kazini right now.

My share for these business ideas is 1 percent of the profit!!!
 
Mi niliwahi kusema humu jf kuwa Yanga ni Brand kubwa, ukiangalia nyomi na mzuka wa mashabiki wa Yanga uwanjani nchi nzima utaona fursa kubwa ya kupiga pesa isiyotumika.

Yanga ina wajibu kuanzisha kiwanda cha vinywaji baridi, maji na maziwa na vinywaji kuviweka lebel ya Yanga, hakika yule kanjibai atasema shikamoo Eng Hersi sababu wanayanga tutanunua sana kama njia ya kusupport timu.

Mradi mwingine ni kuweka Petrol stations zenye lebel ya Yanga, wanayanga wenye magari watanunua mafuta kuisupport Yanga

Miradi hii inaweza kufanywa kwa ubia na viwanda au petrol stations zilizo kazini right now.

My share for these business ideas is 1 percent of the profit!!!
auditing ndo issue
 
Mi niliwahi kusema humu jf kuwa Yanga ni Brand kubwa, ukiangalia nyomi na mzuka wa mashabiki wa Yanga uwanjani nchi nzima utaona fursa kubwa ya kupiga pesa isiyotumika.

Yanga ina wajibu kuanzisha kiwanda cha vinywaji baridi, maji na maziwa na vinywaji kuviweka lebel ya Yanga, hakika yule kanjibai atasema shikamoo Eng Hersi sababu wanayanga tutanunua sana kama njia ya kusupport timu.

Mradi mwingine ni kuweka Petrol stations zenye lebel ya Yanga, wanayanga wenye magari watanunua mafuta kuisupport Yanga

Miradi hii inaweza kufanywa kwa ubia na viwanda au petrol stations zilizo kazini right now.

My share for these business ideas is 1 percent of the profit!!!
Mtasubiri sana, hakuna kiongozi wa maana anaewaza kuwapikia sijui supu na chapati mashabiki.
 
Kwanza tuambie, wewe ni mpenda soka au unapenda Yanga...tuanzie hapo kwanza.
 
🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸
 
Mi niliwahi kusema humu jf kuwa Yanga ni Brand kubwa, ukiangalia nyomi na mzuka wa mashabiki wa Yanga uwanjani nchi nzima utaona fursa kubwa ya kupiga pesa isiyotumika.

Yanga ina wajibu kuanzisha kiwanda cha vinywaji baridi, maji na maziwa na vinywaji kuviweka lebel ya Yanga, hakika yule kanjibai atasema shikamoo Eng Hersi sababu wanayanga tutanunua sana kama njia ya kusupport timu.

Mradi mwingine ni kuweka Petrol stations zenye lebel ya Yanga, wanayanga wenye magari watanunua mafuta kuisupport Yanga

Miradi hii inaweza kufanywa kwa ubia na viwanda au petrol stations zilizo kazini right now.

My share for these business ideas is 1 percent of the profit!!!
GSM anakuja na hizo bidhaa muda si mrefu
 
Najua maboss wa Yanga mko humu, tafadhali fungueni chuo kikuu cha soka ili kuzisaidia club mbalimbali za soka duniani kama vile Arsenal na Simba.

Asante
wazo zuri kwa faida ya taifa yanga wafanye hivyo
 
Back
Top Bottom