Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Bado hujaanza tu kutembea....!
 
Mkuu naomba video kwa ulicho kisema
 
Unabiashara ya kuuza Nguo, ndiyo maana unasema hutazibeba. Hamia BAVICHA
 
Najua vichaa wanepata mwenzao leo....
Tunakukumbusha vua tuu usiogope
 
Alishatembea uchi huyo kabla ya mechi kuisha, na keshapigwa mimba na mnyama
 
Unatembea uchi mtaa gani mzee mwenzangu
 
Mmefungwa sasa tembea uchi![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Sasa tembea uchi fa.la. wewe. Nataka kuona duchelele lako muse.nge. weye.
 
Mkuu unapitia njia gani ili nipate nafasi ya kuona utupu wako? ha ha haa!
 
Niko mtaan kwako hapa, nakubiria nipate sinema ya bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…