Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

dangerous-lion.jpg

Leo yanga amekuwa mtamu kuliko siku zote,
mkuu mradi wako wa kuvua nguo tupe muda tuje kuchukua selfie
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.


HAYA ULIAHIDI YANGA IKIFUNGWA UNATEMBEA UCHI, SASA NIAMBIE UKO WAPI ILI WAKATI UNATEMBEA UCHI NIWE NYUMA YAKO
 
mi nataka nione marinda alaf tafadhali usioge tuone na zile bao 2 za simba zinavyochuruzika utamu
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Mkuu ushavua ngapi??
 
Jamani tupieni picha ya huyu aliyepigwa mpaka kashindwa kuvaa.
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Tekeleza neno lako
 
Uahatembea sasa au bado tuje kukutembeza mwanzo mwisho
 
Haya saula kila kitu mpaka picchu utuwekee uchi wako hapa hadharani halafu uanze safari kesho saa nne asubuhi ya kutoka Tandale mpaka Madale watakuja waungwana kutoka JF kukushindikiza ili ufike salama wasidhani ni mwendawazimu kumbe unatimiza ahadi yako ya kutembea uchi wa binadamu.

Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Umekwisha vua ngua watu wakuchomeke dushe
 
Back
Top Bottom