Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.

Picha mkuu, ahadi ni deni.
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.

safari hii mnyama hatoki
 
Luninga gani itaonyesha mchezo "mubashara"? tafadhali...
 
Ikifika Saa 12 nitakuja hapa

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
 
Wauza unga
Manji alisema akiwa Yanga ..Simba haitachukua ubingwa miaka 10 ..Choko Bashite akatumia mamlaka ya kupumuliwa Na babake akamfunga jela Na.kufungia account zake...ila Mungu sio mzee Mkumba yatapita tuu
 
Back
Top Bottom