Yanga ikiiondoa Al Hilal, nchi haitakalika Jumamosi

Sasa kama hadi dakika 90 ubao utasoma bila bila huoni Yanga atakuwa ametolewa kwa faida ya goli la ugenini walilopata wasudan pale kwa Mkapa?
 
Yanga ikipigwa huko sudani ndio itakuwa safari ya kocha kutupiwa virago, na baadhi ya wachezaji kuachwa
 
tuliitwa underdog na tuliongoza kundi kipindi kicho nyie nacheza na mlandege fc na mkatoa draw
 
KIKOMBE KITUEPUKE.
NITABAKI KUWA YANGA DAMU!
 
Hii ni playstation au pira halisi
 
Mim naomba mtoke ili mwende shirikisho harafu mkutane na de agosto iliyopigwa na namungo goal 6
 
Mtu kama huyu anashauriwa aende Milembe japo apate ushari.
 
Tatizo la uto ni ule mwiko uliopo nyuma
 

Hili halitokaa litokee jipangeni mwakani
 
Ikishinda Yanga lazima tetemeko au drifting itatokea. Mungu aepushie mbali na balaa hilo
 
Yani nilijua ndio mtacheza ivo kumbe unaomba Mungu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwasababu wakubwa wote wanapangiwa wadogo na wanaanzia ugenini. Baada ya nyie wadogo kuenguliwa ndo watu wanaanza kuangalie burdan sasa
 
Maneno Yako Ni Kama Mtoto Aliyefungwa Pempers Halafu Kaikojolea Na Kuinyea Sasa Unamuona Katuna Bhalaa
 
Sasa toka lini mkubwa akapewa mkubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…