mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
- Thread starter
-
- #21
Ulishawahi kuona timu inapewa kikombe au nmgao kwenye mchezo wa fainali huku ikiwa haijafunga goli hata moja!! Hivi kombe la mapinduzi ulilibebaje? Je Argentina ilibebaje kombe la dunia? Hata kama ni kujitoa ufahamu, ndio kwa kiwango hicho!!Imefungwa goli ngapi?
Timu mpaka inapewa kombe haijafunga hata goli moja halafu mnasema mna timu.
Simba mbovu kupita wkt wote.
Wanajitoa ufaham hao...Utetezi wa kijinga huu, hiyu kocha wa Yanga kaja lini hadi awe tayari ana kikosi cha kwanza? Kocha wa Yanga ni mpya kabisa katika soka la Tanzania, ni mpya kabisa katika benchi la Yanga na tokea aje ana muda mfupi sana na isitoshe timu haikucheza mechi yeyote kubwa zaidi ya mechi dhidi ya Kaizer chief. Sasa hiyo first eleven kaipata vipi? Kocha wenu ana muda mrefu na timu na hakuna mchezaji yeyote muhimu aliyeuzwa lakini timu inacheza mpira utafikiri watu waliookotwa mtaani wakaitwa kucheza mechi na wakati timu ilikuwa Uturuki preseason kwa muda mrefu tu na mechi za kirafiki zimechezwa.
Mkuu pale mbele kipi kifanyike, naona pamepoa sana!Simba sio wabovu, ule ndio uwezo wao halisi ila wamekutana na Yanga ambayo kocha mpya ameiongezea ubora kwa soka la kasi na timu yenye uwiano.
Simba kama ita cheza na timu za kawaida kwenye ligi yetu utawaona wakali.
Ubora wa Yanga utaongezeka kwa kadri kocha mpya atavyo pata muda zaidi.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Yanga jana imecheza uozo mtupu.
Bora mechi ya Azam yanga alipiga mpira wa maana .
Yanga kwenye derby anapoteana sana.
Pengo la game changer mayele bado limeikost sana yanga.