mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
- Thread starter
- #21
Ulishawahi kuona timu inapewa kikombe au nmgao kwenye mchezo wa fainali huku ikiwa haijafunga goli hata moja!! Hivi kombe la mapinduzi ulilibebaje? Je Argentina ilibebaje kombe la dunia? Hata kama ni kujitoa ufahamu, ndio kwa kiwango hicho!!Imefungwa goli ngapi?
Timu mpaka inapewa kombe haijafunga hata goli moja halafu mnasema mna timu.
Simba mbovu kupita wkt wote.