Yanga ilikosa Ubingwa wa Ligi Kuu mwaka 1988 ili tu amsaidie Simba isishuke daraja!

Yanga ilikosa Ubingwa wa Ligi Kuu mwaka 1988 ili tu amsaidie Simba isishuke daraja!

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
Dar es Salaam, 1988

▶️Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba akimkabidhi tuzo ya Mchezaji bora chipukizi Ligi Kuu mwaka 1988, kiungo wa Yanga, Athumani Abdallah China.
IMG_4483.jpeg


▶️Katika msimu huo, Coastal Union ya Tanga iliibuka bingwa baada ya kuizidi tu wastani wa mabao Yanga, huku Simba ikinusurika kushuka daraja baada ya kumaliza juu ya Tukuyu Stars ya Mbeya na Reli ya Morogoro zilizoteremka daraja.

▶️Ushindi wa goli 2 - 1 wa Simba dhidi ya Yanga Julai 23, 1988 katika Uwanja wa Uhuru, ndio uliowanusuru Simba kushuka daraja na kumaliza na pointi 20, mbili zaidi ya Tukuyu Stars. Mabo ya Simba yalifungwa na Edward Chumila dk ya 21 na John Makelele dk 58, huku goli la Yanga lilifungwa na Issa Athumani dk 36.

Za ndaaani zinasema Yanga ilimsaidia mtani asishuke daraja
 
Dar es Salaam, 1988

▶️Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba akimkabidhi tuzo ya Mchezaji bora chipukizi Ligi Kuu mwaka 1988, kiungo wa Yanga, Athumani Abdallah China.View attachment 3166496

▶️Katika msimu huo, Coastal Union ya Tanga iliibuka bingwa baada ya kuizidi tu wastani wa mabao Yanga, huku Simba ikinusurika kushuka daraja baada ya kumaliza juu ya Tukuyu Stars ya Mbeya na Reli ya Morogoro zilizoteremka daraja.

▶️Ushindi wa goli 2 - 1 wa Simba dhidi ya Yanga Julai 23, 1988 katika Uwanja wa Uhuru, ndio uliowanusuru Simba kushuka daraja na kumaliza na pointi 20, mbili zaidi ya Tukuyu Stars. Mabo ya Simba yalifungwa na Edward Chumila dk ya 21 na John Makelele dk 58, huku goli la Yanga lilifungwa na Issa Athumani dk 36.

Za ndaaani zinasema Yanga ilimsaidia mtani asishuke daraja
Kweli kabisa....
 
Dar es Salaam, 1988

▶️Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba akimkabidhi tuzo ya Mchezaji bora chipukizi Ligi Kuu mwaka 1988, kiungo wa Yanga, Athumani Abdallah China.View attachment 3166496

▶️Katika msimu huo, Coastal Union ya Tanga iliibuka bingwa baada ya kuizidi tu wastani wa mabao Yanga, huku Simba ikinusurika kushuka daraja baada ya kumaliza juu ya Tukuyu Stars ya Mbeya na Reli ya Morogoro zilizoteremka daraja.

▶️Ushindi wa goli 2 - 1 wa Simba dhidi ya Yanga Julai 23, 1988 katika Uwanja wa Uhuru, ndio uliowanusuru Simba kushuka daraja na kumaliza na pointi 20, mbili zaidi ya Tukuyu Stars. Mabo ya Simba yalifungwa na Edward Chumila dk ya 21 na John Makelele dk 58, huku goli la Yanga lilifungwa na Issa Athumani dk 36.

Za ndaaani zinasema Yanga ilimsaidia mtani asishuke daraja
Jezi za Sharuks za mfadhili Abbas Gulamali.
 
Chai ya baridi hii
Jaribu hata kutupashia basi angalau tunywe ya moto moto
 
Weka msimamo hapa tukuoneshe uongo wako.Halafu kumbuka kuwa miaka hiyo points zilikuwa zinahesabiwa 2 kwa timu iliyoshinda na 1 kwa sare
 
Simba washasahau hii. Ila ndio hivyo, tenda wema nenda zako...
 
Tufanye Simba angefungwa hapo mechi ya mwisho angeshukaje daraja na zingatia kipindi hicho ,game ilikua ni point 2 na si 3 ......
Story za vijiwe aisee 🚮
View attachment 3167198
Hii ni ligi ya 1989 mleta uzi yeye anazungumzia ligi ya 1988 ambapo timu zilizoshuka daraja ni Tukuyu Stars ya Mbeya na Reli ya Morogoro.
 
Hii ni ligi ya 1989 mleta uzi yeye anazungumzia ligi ya 1988 ambapo timu zilizoshuka daraja ni Tukuyu Stars ya Mbeya na Reli ya Morogoro.
Sawa mkuu...
Tunaomba ushahidi wa picha Toka kwa mtoa mada msimamo wa ligi ulikuaje baada ya mechi ....tuweze kujadili maana wengine hatukuwepo ila technolojia ilikuepo.....

Na kwanini 88 ....na si 87 wala SI 89???.......hiyo miaka mingine waliofungwa pia mechi za mwisho au kudraw ,waliisaidia Simba kutoshuka daraja???😃

Hamna ushahidi ,inabaki ni story za kusadikika .....
 
Kelele na hadithi za kusadikika.Hakuna mwaka Simba itaachiwa na Yanga wala Yanga ataachiwa na Simba.
Hizo ni ngonjera tu za kwenye kahawa . Walishindwa kuifunga Simba ndio ikabidi wapenzi uchwara watafute kisingizio.
 
Back
Top Bottom