LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,241
- 940
Hivi unatambua kuwa yule kocha wa diploma ndio amewafanya angalau nyie wenye phd mcheze champions mwaka huu?mwaka huu wanacheza champions league wakiwa na kocha wao kwenye benchi hayo ni mafanikio, wa simba ataanzia jukwaani na pengine Januari Necta wakitoa matokeo yake ya kurisiti atarudi kwenye benchi