LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,241
- 940
Hivi unatambua kuwa yule kocha wa diploma ndio amewafanya angalau nyie wenye phd mcheze champions mwaka huu?mwaka huu wanacheza champions league wakiwa na kocha wao kwenye benchi hayo ni mafanikio, wa simba ataanzia jukwaani na pengine Januari Necta wakitoa matokeo yake ya kurisiti atarudi kwenye benchi
Mkuu haya mambo nikupokezana, kipindi kile umekata zaidi ya 4 years bila kombe wa nafasi ya pili. Usisahau.Ndo furaha pekee mlio nayo
Kocha wenu ana PhD wa simba ana diploma 😄
Mo hela zake za urithi, GSM katafuta mwenyewe
Jezi za yanga kali kuliko za simba🤣
Aliyewapa makombe(manara)tumemchukua 😄
Sie ndo tunaujaza uwanja kuliko nyie😄
Jinga kabisa,, yamesahau hata kuhoji hukumu ya Morrison na ahadi ya ubingwa waliyoahidiwa na bosi wao muuza poda kwa kivuli cha magodoro
4 conservative years WASINDIKIZAJI
Mikia mpaka bado wanaajiri makocha wa upeWenye makocha memkwa wamewapa nafasi wenye makocha bora kucheza CAFCL.