Yanga imefilisika, hivi sasa inatumia wachezaji wake kukusanya pesa kulipa madeni

Yanga imefilisika, hivi sasa inatumia wachezaji wake kukusanya pesa kulipa madeni

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Wote tunajua Yanga Afrika iko hali mbaya sana kifedha. Imefukuzwa Azam Complex kwa malimbikizo ya madeni. Huko FIFA na TFF imefungiwa kufanya usajili kwa sababu ya madeni sugu.

Sasa hivi wachezaji wameambiwa nao wachangie kwenye kibubu cha klabu ili kuokoa jahazi.

1000036937.jpg


Juzi ilikuwa zamu ya Kibwana, jana ikawa zamu ya Pacome. Vibakuli vimerudi kivingiiine.

Wamemchukua Israel Mwenda ila anazurura tu na timu maana hawezi kucheza bila kusajiliwa. Huku Mpanzu ameshaanza kukiwasha toka day 1 dirisha lilivyofunguliwa!

Hii timu dawa yao ni kuwapelekea wale jamaa wa kausha damu ndo watawaweza.

Gusa mfuko, achia jero, tulipe madeni.
 
Yanga ipi, hii ambayo alie kileleni akishuka anaanza kelele GSM anaharibu ligi kwa kudhamini timu kibao ?

Man of the match anakusanya maokoto kama zawadi.

Ni idea nzuri ya mashabiki kupata nafasi ya kuonyesha furaha yao,

Ni suala la muda tu, timu nyingine zitaiga
 
Yanga ipi, hii ambayo alie kileleni akishuka anaanza kelele GSM anaharibu ligi kwa kudhamini timu kibao ?

Man of the match anakusanya maokoto kama zawadi.

Ni idea nzuri ya mashabiki kupata nafasi ya kuonyesha furaha yao,

Ni suala la muda tu, timu nyingine zitaiga
GSM kasusa, kaona anapoteza pesa yake. Timu hata makundi inashindwa kuvuka. Tena sasa hivi anaenda gym hamna cha kumfanya
 
Yanga ipi, hii ambayo alie kileleni akishuka anaanza kelele GSM anaharibu ligi kwa kudhamini timu kibao ?

Man of the match anakusanya maokoto kama zawadi.

Ni idea nzuri ya mashabiki kupata nafasi ya kuonyesha furaha yao,

Ni suala la muda tu, timu nyingine zitaiga
Sio kulia,ni kweli mlikuwa mnanunua mechi na kuhonga wakina Kayoko,mbaya zaid ni pale mlipoumbuliwa kutumia dawa za kuongeza nguvu,nyie bila rushwa hamtoboi
 
Wote tunajua Yanga Afrika iko hali mbaya sana kifedha. Imefukuzwa Azam Complex kwa malimbikizo ya madeni. Huko FIFA na TFF imefungiwa kufanya usajili kwa sababu ya madeni sugu.

Sasa hivi wachezaji wameambiwa nao wachangie kwenye kibubu cha klabu ili kuokoa jahazi.

View attachment 3188755

Juzi ilikuwa zamu ya Kibwana, jana ikawa zamu ya Pacome. Vibakuli vimerudi kivingiiine.

Wamemchukua Israel Mwenda ila anazurura tu na timu maana hawezi kucheza bila kusajiliwa. Huku Mpanzu ameshaanza kukiwasha toka day 1 dirisha lilivyofunguliwa!

Hii timu dawa yao ni kuwapelekea wale jamaa wa kausha damu ndo watawaweza.

Gusa mfuko, achia jero, tulipe madeni.
Ngoja niwasiliane na Injinia Hersi kama kweli wanashida ya pesa; nitawatumia $1,000,000 kusaidia timu yetu.
 
Wote tunajua Yanga Afrika iko hali mbaya sana kifedha. Imefukuzwa Azam Complex kwa malimbikizo ya madeni. Huko FIFA na TFF imefungiwa kufanya usajili kwa sababu ya madeni sugu.

Sasa hivi wachezaji wameambiwa nao wachangie kwenye kibubu cha klabu ili kuokoa jahazi.

View attachment 3188755

Juzi ilikuwa zamu ya Kibwana, jana ikawa zamu ya Pacome. Vibakuli vimerudi kivingiiine.

Wamemchukua Israel Mwenda ila anazurura tu na timu maana hawezi kucheza bila kusajiliwa. Huku Mpanzu ameshaanza kukiwasha toka day 1 dirisha lilivyofunguliwa!

Hii timu dawa yao ni kuwapelekea wale jamaa wa kausha damu ndo watawaweza.

Gusa mfuko, achia jero, tulipe madeni.
Jengeni....nidhamu na mazoea luchangia team sio kutegemea bwana wenu mmoja watu milioni 20 zaidi hamuoni aiibu ??lipeni ada wanachama muendeshe team......watu mil 20 mnasikilizia bwana mmoja
 
Back
Top Bottom