Yanga imefilisika, hivi sasa inatumia wachezaji wake kukusanya pesa kulipa madeni

Yanga imefilisika, hivi sasa inatumia wachezaji wake kukusanya pesa kulipa madeni

Iwe kweli au si kweli, Nipo tayari kuchangia timu yangu, hata ingekuwa wewe kwa ile burudani ya 'GUSA ACHIA TWENDE KWAO' ushindwe kuchangia chochote kweli?? Kuna shabiki wa kolo hapa anasema kwa ile burudani na yeye anaomba namba achangie! Hii iwe mfano kwa vilabu vingine tz
 
Daah! Imefikia hatua kila jambo letu tunalolifanya linawaumiza. Lol
 
Wafia timu wanatokwa povu na matusi wakati hili kolo wizard linachangamsha genge.

Sema umenichekesha hapo mwisho
Gusa mfuko, achia jero, tulipe madeni
 
Wote tunajua Yanga Afrika iko hali mbaya sana kifedha. Imefukuzwa Azam Complex kwa malimbikizo ya madeni. Huko FIFA na TFF imefungiwa kufanya usajili kwa sababu ya madeni sugu.

Sasa hivi wachezaji wameambiwa nao wachangie kwenye kibubu cha klabu ili kuokoa jahazi.

View attachment 3188755

Juzi ilikuwa zamu ya Kibwana, jana ikawa zamu ya Pacome. Vibakuli vimerudi kivingiiine.

Wamemchukua Israel Mwenda ila anazurura tu na timu maana hawezi kucheza bila kusajiliwa. Huku Mpanzu ameshaanza kukiwasha toka day 1 dirisha lilivyofunguliwa!

Hii timu dawa yao ni kuwapelekea wale jamaa wa kausha damu ndo watawaweza.

Gusa mfuko, achia jero, tulipe madeni.
Akili mgando, hivi kwa zama hizi kuna watu bado wanazo?
 
Jengeni....nidhamu na mazoea luchangia team sio kutegemea bwana wenu mmoja watu milioni 20 zaidi hamuoni aiibu ??lipeni ada wanachama muendeshe team......watu mil 20 mnasikilizia bwana mmoja
Watu wananunua merch, wanakwenda viwanjani na wananunua bidhaa za mwekezaji. Hiyo ni sapoti tosha sana.

Upande wa pili sasa, bidhaa za timu klabu inapata 0.3%, viwanjani hawaendi mpaka wanunuliwe tiketi na bidhaa za mwekezaji ndiyo hayo magodoro ambayo wote tunajua wabongo tunarithishana hadi magodoro. Timu itashindwa kufilisika?
 
Simba mnaumizwa na vitu vidogo sanaaa

Iwe kweli au si kweli, Nipo tayari kuchangia timu yangu, hata ingekuwa wewe kwa ile burudani ya 'GUSA ACHIA TWENDE KWAO' ushindwe kuchangia chochote kweli?? Kuna shabiki wa kolo hapa anasema kwa ile burudani na yeye anaomba namba achangie! Hii iwe mfano kwa vilabu vingine tz

Daah! Imefikia hatua kila jambo letu tunalolifanya linawaumiza. Lol

Wafia timu wanatokwa povu na matusi wakati hili kolo wizard linachangamsha genge.

Sema umenichekesha hapo mwisho
Gusa mfuko, achia jero, tulipe madeni
Isije kuwa mmegeuka kuwa chuma ulete
 
Back
Top Bottom