Yanga imejiandaa kumaliza mechi Dar es Salaam

Yanga imejiandaa kumaliza mechi Dar es Salaam

Jackwillpower

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2017
Posts
2,467
Reaction score
3,687
Kuna mtu kanidokeza kuhusu huu mpango wa mechi ya Yanga na USM Alger

Mpira wa Africa hata uwe na Quality Players lazima ucheze na mechi nje ya uwanja ili utwae mataji .

Quality Players +Mbinu nje ya uwanja=Mataji ya Caf

CEO wa Yanga ana uzoefu na hizi mambo toka yupo Mazembe ,

Yanga imepata Marefa watatoka Congo, Hawa Marefa tayari watawasili Dar es Salaam kesho jioni ,kwa Marefa Hawa wacongo ambao watachezesha mechi ambayo imejaa ndugu zao kina mayere ,n.k pamoja na posho watakayopewa kusaidia upatikanaji wa Goli ,

Ili refa akutafutie mazingira ya kukubeba unatakiwa uwe na Quality player wakurahisisha hiyo kazi, Yanga wanayo tayari , Mtu Kama Morrison Ni rahisi kutengeneza penalty, ,iwapo Yanga atatoka na mtaji wa Goli 2-3 , Kombe anabeba mchana kweupe ., Mechi ya Algeria ,Yanga ataenda kukamilisha ratiba.

Unajua hii mechi ilikuwa icheze saa 1:00 usiku ?

Sasa Yanga walishaanza mipango mapema kabisa , ilikuwa hivi Yanga alijua akipita vs River united atakutana na Pyramid .Alipotoka Nigeria akiwa na mtaji wa Goli 2 , akajua mpinzani anayekuja atakuwa pyramid, Mipango ikawa Pyramid anapigwaje kwa mkapa?

Hivo Umeme kukata mechi ya Rivers pale makapa stadium ilikuwa Ni mipango ili mechi na Pyramid ,Yanga wawe na hoja mechi ichezwe saa 10:00 jioni, Kuna watu hawaelewi kuwa hata Mamelod alimtandika NATIONAL ALHLY Goli 5 ,alichezeshwa mida ya jua, Hata Wydad alichezeshwa mida ya jua ,matokeo yakaisha 2-2 kwa uzembe wao Mamelod .

Baada ya mechi na River united bahati mbaya akapita Marumo , Lakini advantage ya ule mpango haikufa,hivo inakuja kutumika mechi na USM ALGER , Yanga waliwasilisha ombi Hilo mapema wakiweka sababu Kuna matatizo ya umeme, tayari CAF wamewaruhusu Yanga wacheze mechi saa 10:00 jion

Kwa Quality ya Yanga plus Refa kutoka Congo, na Jua la saa 10:00 jion

Yanga ana advantage ya kupata Goli 2-3

Mechi ya Algeria ,Itachezwa saa 1:00 usiku

HIYO NDIO MIPANGO YA KUCHUKUA KOMBE LOLOTE AFRICA HII

BILA MIPANGO MWISHO NI ROBO FAINAL TU
 
Nani kawadanganya kuwa waarabu hushinda usiku tu? Mliona morocco alichokuwa anafanya?

Nawatakia kila la kheri yanga. Waondoe mentality ya kushinda mechi za nyumbani tu kama simba. Washinde nyumbani na ugenini
Waarabu ni wazuri kumaliza mechi hasa wakiwa kwao

Yanga anatakiwa aondoke na mtaji wa magoli lasivyo asitegemee Sana away kule Hali Ni ngumu

Asec mimosa alishindwa kumaliza mechi kwao mapema
 
Nani kawadanganya kuwa waarabu hushinda usiku tu? Mliona morocco alichokuwa anafanya?

Nawatakia kila la kheri yanga. Waondoe mentality ya kushinda mechi za nyumbani tu kama simba. Washinde nyumbani na ugenini
Yanga hana mentality ya "KWA MKAPA HATOKI MTU".

Wao wanashinda kokote kule wanakoweza kushinda.

Amepoteza. Mechi 1 tu ya ugegeni kati ya nane zilizopita ktk CAFCC.

Usi husishe mentality ya Simba & Yanga.
 
Kumbe wewe umekuja kuandika na uzi kabisa wa kujiabisha.

Kuhusu muda wa kuchezwa saa kumi ni agizo la serikali na ilitolewa maamuzi hayo kufuatia matukio mawili yaliyoitia dosari nchi kwa taa za uwanja kupungua mwanga. Agizo la serikali likaamua mechi zote zichezwe saa 10 badala ya usiku.

Unatia aibu sana, tukio la taa limeanzia tokea kwenye mechi ya Simba vs Wydad. Na isitoshe Yanga hawana sababu ya kufanya huo mchezo wa kuzima taa kwasababu kuu mbili na ujione ulivyo mtupu kichwani.

1) sababu ya kwanza ni kuwa ni wazi ilishajulikana kitambo tokea first leg atakayefuzu sio Pyramids bali ni Marumo kwasababu Marumo katoa sare ya magoli Misri hivyo sio bahati bali ilikuwa ilifahamika ni lazima apite kwasababu hadi mechi ya Dar inacheza timu zote Yanga na Marumo zilikuwa away

Sababu ya pili ni kwamba anayepanga muda wa mchezo ni mwenyeji mwenyewe hivyo hakuna haja ya kufanya huo upuuzi mnaodanganya kijiweni kwako

Kuhusu marefarii, naomba niambie kwanzia Yanga amecheza katika hii michuano ni mechi ipi alipata favour kutoka kwa waamu

2)Ninataka ushahidi na uthibitisho ni kipi kilichofanyika nje ya uwanja ikapelekea Yanga kushinda. Kama hakuna tukio au mpango wowote uliofanyika maana yake unaongea kwa kuhisia tu. Yamga wanashinda kwa uwezo wao na sio kwa mipango ya nje ya uwanja na ndio maana mpaka sasa imepoteza mechi moja tu away katika kombe la shirikisho. Laiti kama ingekuwa inategemea mipango ya nje ya uwanja wangekuwa wanashindia home pekee kwasababu wana advantage ya figisu.
IMG_20230522_153345.jpg
 
Nani kawadanganya kuwa waarabu hushinda usiku tu? Mliona morocco alichokuwa anafanya?

Nawatakia kila la kheri yanga. Waondoe mentality ya kushinda mechi za nyumbani tu kama simba. Washinde nyumbani na ugenini
Tayar hayo yaloshatokea
 
Nani kawadanganya kuwa waarabu hushinda usiku tu? Mliona morocco alichokuwa anafanya?

Nawatakia kila la kheri yanga. Waondoe mentality ya kushinda mechi za nyumbani tu kama simba. Washinde nyumbani na ugenini
Yanga ndani msimu huu wa CAF mechi za away amecheza michezo 7 na katika michezo 7 kafungwa mechi mbili tu na kushinda 4 na sare moja.
Vs Al Hilal [emoji777]
Vs Club African [emoji736]
Vs Monastir [emoji777]
Vs Real Bamako [emoji1666]
Vs Tp Mazembe. [emoji736]
Vs Rivers united [emoji736]
Vs Marumo [emoji736]
 
Kuna mtu kanidokeza kuhusu huu mpango wa mechi ya Yanga na USM Alger

Mpira wa Africa hata uwe na Quality Players lazima ucheze na mechi nje ya uwanja ili utwae mataji .

Quality Players +Mbinu nje ya uwanja=Mataji ya Caf

CEO wa Yanga ana uzoefu na hizi mambo toka yupo Mazembe ,

Yanga imepata Marefa watatoka Congo, Hawa Marefa tayari watawasili Dar es Salaam kesho jioni ,kwa Marefa Hawa wacongo ambao watachezesha mechi ambayo imejaa ndugu zao kina mayere ,n.k pamoja na posho watakayopewa kusaidia upatikanaji wa Goli ,

Ili refa akutafutie mazingira ya kukubeba unatakiwa uwe na Quality player wakurahisisha hiyo kazi, Yanga wanayo tayari , Mtu Kama Morrison Ni rahisi kutengeneza penalty, ,iwapo Yanga atatoka na mtaji wa Goli 2-3 , Kombe anabeba mchana kweupe ., Mechi ya Algeria ,Yanga ataenda kukamilisha ratiba.

Unajua hii mechi ilikuwa icheze saa 1:00 usiku ?

Sasa Yanga walishaanza mipango mapema kabisa , ilikuwa hivi Yanga alijua akipita vs River united atakutana na Pyramid .Alipotoka Nigeria akiwa na mtaji wa Goli 2 , akajua mpinzani anayekuja atakuwa pyramid, Mipango ikawa Pyramid anapigwaje kwa mkapa?

Hivo Umeme kukata mechi ya Rivers pale makapa stadium ilikuwa Ni mipango ili mechi na Pyramid ,Yanga wawe na hoja mechi ichezwe saa 10:00 jioni, Kuna watu hawaelewi kuwa hata Mamelod alimtandika NATIONAL ALHLY Goli 5 ,alichezeshwa mida ya jua, Hata Wydad alichezeshwa mida ya jua ,matokeo yakaisha 2-2 kwa uzembe wao Mamelod .

Baada ya mechi na River united bahati mbaya akapita Marumo , Lakini advantage ya ule mpango haikufa,hivo inakuja kutumika mechi na USM ALGER , Yanga waliwasilisha ombi Hilo mapema wakiweka sababu Kuna matatizo ya umeme, tayari CAF wamewaruhusu Yanga wacheze mechi saa 10:00 jion

Kwa Quality ya Yanga plus Refa kutoka Congo, na Jua la saa 10:00 jion

Yanga ana advantage ya kupata Goli 2-3

Mechi ya Algeria ,Itachezwa saa 1:00 usiku

HIYO NDIO MIPANGO YA KUCHUKUA KOMBE LOLOTE AFRICA HII

BILA MIPANGO MWISHO NI ROBO FAINAL TU

Sijui unawezaje kufikiri details zote hizi ambazo ni za kipumbavu
 
I think CAF nao wanatamani Yanga wabebe kombe kwa sababu wanajua fika Tanzania tunavyopenda mpira wa ndani. Ikitokea Yanga wamebeba naamini hata thamani ya kombe lenyewe itapanda maana sherehe itakayo fanyika itakuwa gumzo.
Parade itarudiwa?
 
Back
Top Bottom