Na kweli ubora wa yanga tumeuonaSiyo kweli, hapo umedanganya.
Yanga tupo bora sana msimu huu na tuna uwezekano mkuwa wa kuchukua kombe la CAF Shirikisho kutokana na ubora wa timu yetu wala si vinginevyo. Naona unaumia na unakufa kiume.
YANGA daima mbele