Yanga imekaidi agizo halali la Serikali, hatua kali zichukuliwe dhidi yake

Yanga imekaidi agizo halali la Serikali, hatua kali zichukuliwe dhidi yake

Halafu mkiitwa mbumbumbu, eti mnakasirika!
Yaani wasiwekwe kikaangoni Azam na Geita Gold waliotokewa moja kwa moja kwenye mashindano! Achilia mbali zile takataka nyingine za kule Visiwani!

Badala yake wawekwe Yanga ambao wanaendelea na mashindano ya Kombe la Shirikisho!
Mkuu kwani Azam na Geita nao walipewa agizo na waziri?

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nijikite kwenye mada,

Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Thiery Henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na Rais wa Ufaransa wa wakati huo Nicolas Sarkozy aandike insha isiyopungua maneno 2000 juu ya kwa nini walivurunda kwenye fainali ya Kombe la Dunia kwa mwaka huo.

Kana kwamba haitoshi Serikali ilionyesha karipio lao kwa timu kwa kuisafirisha timu yote na benchi la ufundi kwa tiketi za "Economy class" ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.

Ili kuonyesha kwamba mambo hayo siyo mageni, tukirudi nyuma kidogo mnamo mwaka 1994 na 1998 kwenye Makombe ya Dunia (la Marekani na Ufaransa), nchini Iraq nako mambo yalikua si shwari kwa timu ya nchi hiyo iliyokua inapambania kufuzu fainali hizo, ambapo mtoto wa kiume wa Saddam Hussein bwana Uday yeye alianzisha Guantanamo ya kimichezo kwenye floo ya chini katika jengo la Kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo.

Bwana Uday aliwasweka wachezaji kwenye chemba hizo za mateso mara kwa mara na kuwatishia kuwakata miguu na kuitupa kwa mbwa wakali waliozunguka chemba hiyo ya mateso.

Sambamba na hilo mwaka 2000 nchini Ivory Coast kwenye harakati za kufuzu AFCON mtawala wa kijeshi wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais wa nchi hiyo, aliisweka timu yote pamoja na viongozi wake kwenye kambi ya kijeshi, wakapewa msoto mkali baada tu ya kutolewa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya Mataifa ya Afrika.

Sambamba na hilo, hivi majuzi waziri wa nchi mwenye dhamana ya michezo Mohamed Mchengerwa alitoa agizo zito kutoka Serikalini kwenda kwa Klabu ya Yanga, kwamba Serikali inaiagiza Yanga kwamba ni lazima ikashinde mechi yake ya marudiano dhidi ya Wasudan.

Na kwa kuSa Dar es salaam Young Africans ilienda Sudan kuliwakilisha taifa, pengine ndiyo hasa msingi wa kauli ya kiongozi huyu mkubwa wa nchi kuipa agizo hili Yanga ambalo kiukweli limegeuka kuwa mzigo mzito kwa timu pamoja na uongozi.

Sasa kwa kuwa Rais wa Yanga alisikika akipokea maagizo hayo ya Serikali na kuahidi kuyatekeleza, ni wakati muafaka sasa kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuipa adhabu nzito timu ya Jangwani kwa kushindwa kutekeleza au kupuuzia maagizo ya nchi.

Mchengerwa kuwaacha Yanga hivi hivi ni kutengeneza "Double standards" na kukufanya upuuzwe hata wakati mwingine ukitoa maagizo kwa wengine yatapuuzwa tu!

Napendekeza uongozi wa Yanga wakiwemo Injinia na Profesa na wachezaji wote akiwemo Mwamnyeto na Mayele, wapelekwe Kambi ya Lugalo kwa walau wiki moja wakapigwe "Rolling" na kata tumbo ya kufa mtu ili iwe fundisho kwa timu za nchi hii kuliletea taifa aibu.

Ikumbukwe pia Yanga imeshindwa kuakisi harakati za Rais Samia za Royal Tour za kuitangaza nchi yetu kimataifa kwa mara ya pili mfululizo. Sasa jambo ambalo halivumiliki hata kidogo, kwani hali hii inachangia kudidimiza sekta ya utalii nchini.

Nawasilisha.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
me naona aya maswala ya michezo (Soccer). yawekw mbal na shughul za kisiasa km fifa ynyew inavytaka
 
Swali lingine wakati wao wanaenda kulitia taifa aibu kwa kupokea zile KHAMSA ugenini nani aliwachukulua hatua. Kwa akili zao walidhani Yanga anaenda kufa goli si chini ya 4 ndio wanaumia kuliko hata Yanga yenyewe iliyofungwa.

Ni mada ya kipumbavu iliyoletwa kuchangamsha genge

Sent using Jamii Forums mobile app
MAKOLOKOLO ni mambumbumbu yanayohitaji psychogical treatment maana hayaamini tangu 2019 hayajawahi kumfunga YANGA kwenye ligi kuu Bara [emoji28]
 
Kocha wetu ni mswahili anajua michongo yenu yote harafu ni mtoto wa Tanga mlogeee weee ila jamaa halogeki na timu keshaiweka sawa.kaena na panadol tu maaana tunakuja kuutoa mwiko nyuma bila nganzi
MAKOLO wenyewe mlishinda kimchongo kule Angola baada ya kumuhonga Refa mahela akawanyima De Agosto penalty halali ya wazi kabisa na kukataa goli halali la kusawazisha [emoji16]

Uzuri mwisho wa fitina zenu MBUMBUMBU huwa unajulikana ni swala la muda tu [emoji38]
 
Mifano Yako yoote imejikita kwenye timu za taifa ambazo kiuhalisia serikali ndio hughalamia Kambi zao na ghalama nyinginezo.

Bahati mbaya umekuja kufananisha na klabu! Ambayo kiuhalisia serikali haijaweka hata mia yake. Sasa Kwa mantiki hiyo serikali haiwezi kuwa na mandates za kuiadhibu klabu yoyote.
 
Acha unaaa tuna makombe mawili champion na FA lzm tucheze mechi za makombe yote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nijikite kwenye mada,

Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Thiery Henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na Rais wa Ufaransa wa wakati huo Nicolas Sarkozy aandike insha isiyopungua maneno 2000 juu ya kwa nini walivurunda kwenye fainali ya Kombe la Dunia kwa mwaka huo.

Kana kwamba haitoshi Serikali ilionyesha karipio lao kwa timu kwa kuisafirisha timu yote na benchi la ufundi kwa tiketi za "Economy class" ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.

Ili kuonyesha kwamba mambo hayo siyo mageni, tukirudi nyuma kidogo mnamo mwaka 1994 na 1998 kwenye Makombe ya Dunia (la Marekani na Ufaransa), nchini Iraq nako mambo yalikua si shwari kwa timu ya nchi hiyo iliyokua inapambania kufuzu fainali hizo, ambapo mtoto wa kiume wa Saddam Hussein bwana Uday yeye alianzisha Guantanamo ya kimichezo kwenye floo ya chini katika jengo la Kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo.

Bwana Uday aliwasweka wachezaji kwenye chemba hizo za mateso mara kwa mara na kuwatishia kuwakata miguu na kuitupa kwa mbwa wakali waliozunguka chemba hiyo ya mateso.

Sambamba na hilo mwaka 2000 nchini Ivory Coast kwenye harakati za kufuzu AFCON mtawala wa kijeshi wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais wa nchi hiyo, aliisweka timu yote pamoja na viongozi wake kwenye kambi ya kijeshi, wakapewa msoto mkali baada tu ya kutolewa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya Mataifa ya Afrika.

Sambamba na hilo, hivi majuzi waziri wa nchi mwenye dhamana ya michezo Mohamed Mchengerwa alitoa agizo zito kutoka Serikalini kwenda kwa Klabu ya Yanga, kwamba Serikali inaiagiza Yanga kwamba ni lazima ikashinde mechi yake ya marudiano dhidi ya Wasudan.

Na kwa kuSa Dar es salaam Young Africans ilienda Sudan kuliwakilisha taifa, pengine ndiyo hasa msingi wa kauli ya kiongozi huyu mkubwa wa nchi kuipa agizo hili Yanga ambalo kiukweli limegeuka kuwa mzigo mzito kwa timu pamoja na uongozi.

Sasa kwa kuwa Rais wa Yanga alisikika akipokea maagizo hayo ya Serikali na kuahidi kuyatekeleza, ni wakati muafaka sasa kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuipa adhabu nzito timu ya Jangwani kwa kushindwa kutekeleza au kupuuzia maagizo ya nchi.

Mchengerwa kuwaacha Yanga hivi hivi ni kutengeneza "Double standards" na kukufanya upuuzwe hata wakati mwingine ukitoa maagizo kwa wengine yatapuuzwa tu!

Napendekeza uongozi wa Yanga wakiwemo Injinia na Profesa na wachezaji wote akiwemo Mwamnyeto na Mayele, wapelekwe Kambi ya Lugalo kwa walau wiki moja wakapigwe "Rolling" na kata tumbo ya kufa mtu ili iwe fundisho kwa timu za nchi hii kuliletea taifa aibu.

Ikumbukwe pia Yanga imeshindwa kuakisi harakati za Rais Samia za Royal Tour za kuitangaza nchi yetu kimataifa kwa mara ya pili mfululizo. Sasa jambo ambalo halivumiliki hata kidogo, kwani hali hii inachangia kudidimiza sekta ya utalii nchini.

Nawasilisha.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Agizo la Naibu Waziri kwamba "lazima mshinde" ni batili. Halitekelezeki na hakuna chombo cha taifa cha kufuatilia utekelezaji wake. Afadhali angesema mkishindwa mlipe faini kiasi kadhaa. Hilo linatekelezeka.
 
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nijikite kwenye mada,

Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Thiery Henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na Rais wa Ufaransa wa wakati huo Nicolas Sarkozy aandike insha isiyopungua maneno 2000 juu ya kwa nini walivurunda kwenye fainali ya Kombe la Dunia kwa mwaka huo.

Kana kwamba haitoshi Serikali ilionyesha karipio lao kwa timu kwa kuisafirisha timu yote na benchi la ufundi kwa tiketi za "Economy class" ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.

Ili kuonyesha kwamba mambo hayo siyo mageni, tukirudi nyuma kidogo mnamo mwaka 1994 na 1998 kwenye Makombe ya Dunia (la Marekani na Ufaransa), nchini Iraq nako mambo yalikua si shwari kwa timu ya nchi hiyo iliyokua inapambania kufuzu fainali hizo, ambapo mtoto wa kiume wa Saddam Hussein bwana Uday yeye alianzisha Guantanamo ya kimichezo kwenye floo ya chini katika jengo la Kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo.

Bwana Uday aliwasweka wachezaji kwenye chemba hizo za mateso mara kwa mara na kuwatishia kuwakata miguu na kuitupa kwa mbwa wakali waliozunguka chemba hiyo ya mateso.

Sambamba na hilo mwaka 2000 nchini Ivory Coast kwenye harakati za kufuzu AFCON mtawala wa kijeshi wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais wa nchi hiyo, aliisweka timu yote pamoja na viongozi wake kwenye kambi ya kijeshi, wakapewa msoto mkali baada tu ya kutolewa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya Mataifa ya Afrika.

Sambamba na hilo, hivi majuzi waziri wa nchi mwenye dhamana ya michezo Mohamed Mchengerwa alitoa agizo zito kutoka Serikalini kwenda kwa Klabu ya Yanga, kwamba Serikali inaiagiza Yanga kwamba ni lazima ikashinde mechi yake ya marudiano dhidi ya Wasudan.

Na kwa kuSa Dar es salaam Young Africans ilienda Sudan kuliwakilisha taifa, pengine ndiyo hasa msingi wa kauli ya kiongozi huyu mkubwa wa nchi kuipa agizo hili Yanga ambalo kiukweli limegeuka kuwa mzigo mzito kwa timu pamoja na uongozi.

Sasa kwa kuwa Rais wa Yanga alisikika akipokea maagizo hayo ya Serikali na kuahidi kuyatekeleza, ni wakati muafaka sasa kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuipa adhabu nzito timu ya Jangwani kwa kushindwa kutekeleza au kupuuzia maagizo ya nchi.

Mchengerwa kuwaacha Yanga hivi hivi ni kutengeneza "Double standards" na kukufanya upuuzwe hata wakati mwingine ukitoa maagizo kwa wengine yatapuuzwa tu!

Napendekeza uongozi wa Yanga wakiwemo Injinia na Profesa na wachezaji wote akiwemo Mwamnyeto na Mayele, wapelekwe Kambi ya Lugalo kwa walau wiki moja wakapigwe "Rolling" na kata tumbo ya kufa mtu ili iwe fundisho kwa timu za nchi hii kuliletea taifa aibu.

Ikumbukwe pia Yanga imeshindwa kuakisi harakati za Rais Samia za Royal Tour za kuitangaza nchi yetu kimataifa kwa mara ya pili mfululizo. Sasa jambo ambalo halivumiliki hata kidogo, kwani hali hii inachangia kudidimiza sekta ya utalii nchini.

Nawasilisha.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Mtu unalala njaa,badala utafute chakula unakaa kuandika uharo mitandaoni! CCM hamjawahi kuwa na akili.
 
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nijikite kwenye mada,

Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Thiery Henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na Rais wa Ufaransa wa wakati huo Nicolas Sarkozy aandike insha isiyopungua maneno 2000 juu ya kwa nini walivurunda kwenye fainali ya Kombe la Dunia kwa mwaka huo.

Kana kwamba haitoshi Serikali ilionyesha karipio lao kwa timu kwa kuisafirisha timu yote na benchi la ufundi kwa tiketi za "Economy class" ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.

Ili kuonyesha kwamba mambo hayo siyo mageni, tukirudi nyuma kidogo mnamo mwaka 1994 na 1998 kwenye Makombe ya Dunia (la Marekani na Ufaransa), nchini Iraq nako mambo yalikua si shwari kwa timu ya nchi hiyo iliyokua inapambania kufuzu fainali hizo, ambapo mtoto wa kiume wa Saddam Hussein bwana Uday yeye alianzisha Guantanamo ya kimichezo kwenye floo ya chini katika jengo la Kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo.

Bwana Uday aliwasweka wachezaji kwenye chemba hizo za mateso mara kwa mara na kuwatishia kuwakata miguu na kuitupa kwa mbwa wakali waliozunguka chemba hiyo ya mateso.

Sambamba na hilo mwaka 2000 nchini Ivory Coast kwenye harakati za kufuzu AFCON mtawala wa kijeshi wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais wa nchi hiyo, aliisweka timu yote pamoja na viongozi wake kwenye kambi ya kijeshi, wakapewa msoto mkali baada tu ya kutolewa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya Mataifa ya Afrika.

Sambamba na hilo, hivi majuzi waziri wa nchi mwenye dhamana ya michezo Mohamed Mchengerwa alitoa agizo zito kutoka Serikalini kwenda kwa Klabu ya Yanga, kwamba Serikali inaiagiza Yanga kwamba ni lazima ikashinde mechi yake ya marudiano dhidi ya Wasudan.

Na kwa kuSa Dar es salaam Young Africans ilienda Sudan kuliwakilisha taifa, pengine ndiyo hasa msingi wa kauli ya kiongozi huyu mkubwa wa nchi kuipa agizo hili Yanga ambalo kiukweli limegeuka kuwa mzigo mzito kwa timu pamoja na uongozi.

Sasa kwa kuwa Rais wa Yanga alisikika akipokea maagizo hayo ya Serikali na kuahidi kuyatekeleza, ni wakati muafaka sasa kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuipa adhabu nzito timu ya Jangwani kwa kushindwa kutekeleza au kupuuzia maagizo ya nchi.

Mchengerwa kuwaacha Yanga hivi hivi ni kutengeneza "Double standards" na kukufanya upuuzwe hata wakati mwingine ukitoa maagizo kwa wengine yatapuuzwa tu!

Napendekeza uongozi wa Yanga wakiwemo Injinia na Profesa na wachezaji wote akiwemo Mwamnyeto na Mayele, wapelekwe Kambi ya Lugalo kwa walau wiki moja wakapigwe "Rolling" na kata tumbo ya kufa mtu ili iwe fundisho kwa timu za nchi hii kuliletea taifa aibu.

Ikumbukwe pia Yanga imeshindwa kuakisi harakati za Rais Samia za Royal Tour za kuitangaza nchi yetu kimataifa kwa mara ya pili mfululizo. Sasa jambo ambalo halivumiliki hata kidogo, kwani hali hii inachangia kudidimiza sekta ya utalii nchini.

Nawasilisha.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Ila kuna watu ni mattercall kabisa!

1. Yanga ilipotolewa safari hii ndipo ambapo mwaka jana Simba ilipotolewa na kwenda shirikisho na hatimae ikafika robo fainali ya shirikisho. Yanga kutolewa isiwe hoja sana kuwapanikisha wasemwe vizuri ili wafanye vizuri shirikisho hata zaidi ya Simba mwaka jana. Kila kiti kinawezekana kwa kikosi walicho nacho

2. Al Hilary sio sawa na wale viwete wa Angola walifungwa na Simba. Nina uhakika kama Yanga wangepangiwa wale viwete wa Angola na Simba wakapewa Al Hilary story ingekuwa tofauti sana. Wale viwete waliofungwa 3-0 na Simba wangepigwa na Yanga kama walivyopigwa wale jamaa weusi wa Sudan kusini Zalan, na Simba angekuwa ametolewa ukizingatia Al Hilary wametoka kumpa kichapo cha 1-0 Simba mwezi mmoja tu uliopita[emoji2]

3. Kwa Yanga ni hatua ya ku grow, maana walipoishia mwaka jana sipo walipoishia mwaka huu. Mwaka jana nyote mnakumbuka Yanga alitolewa round ya kwanza kabisa na Rivers United hatua ya kwanza kabisa kwa kufungwa nyumbani na ugenini. Mwaka huu Yanga imesogea round ya pili. Hili ni jambo la kujivunia kwa Yanga. Wakijipanga zaidi mwakani wanaingia makundi. Tujifunza kuwa positive kuzipa hamasa timu zetu sio kuwafanya wakose confidence.

4. Hakuna mtu ana uhakika kati ya Simba na Yanga nani atafika mbali zaidi kimataifa. Kuingia kwa Simba kwenye makundi ya Champions League hakumaanishi ni lazima atafika mbali. Anaweza kutolewa hapo hapo kwenye makundi na bado Yanga akafika mbali zaidi shirikisho. Hivyo bado ni mapema, kelele zisiwe nyingi.

5. Kuna mbuzi wanamlaumu Nabi kwa kufungwa MECHI MOJA TU! Hivi nyie watu sijui mkoje! Mechi zoteeee alizoshinda alikuwa kocha mzuri! Aliposimama timu imeshafungwa akafanya sub na zikaleta matokeo alikuwa kocha mzuri. Wakati mnawapiga Zalan goli 9 alikuwa kocha mzuri ila wakati ana droo na Hilary na kufungwa moja kwa shida amekuwa kocha mbaya ghafla. Tujifunze kupenda mpira zaidi kuliko team. Al Hilary sio timu ya kufungwa kirahisi. Tambua unacheza na nani
 
Ujinga ni mzigo huyu kapata wapi mda wa kuandika upuuzi huu mrefu hivi?
 
Mada nyingine za kipumbafu tuu. Kwani serikali inawalipa yanga? Majitu mengine bana.
 
Back
Top Bottom