Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Uko sahihi mkuuHuu ndo ukweli ulio wazi. Ile circle ya mafanikio kwa Wananchi inaenda kutamatika msimu huu.
Timu haina mbinu mbadala, ukizuia zile pass mpenyezo basi hawawezi kupata bao.
Msimu huu tujiandae tu kwa vilio maana hata huko Klabu bingwa sidhani kama tutatoboa huko kwenye makundi...
Nipo tayari kuitwa mbumbumbu/kolo
Unasemaa?!?
Mkuu acha Ubishi,sote mpira tunaangalia,Ukweli ni kwamba,Yanga kwasasa hawachezi vizuri!
Hatuitaji timu ishinde Magoli mengi but mpira uonekane!
Yanga kwasasa inakosa kuwapa pressure wapinzani,mipira mingi wanarudisha nyuma badala ya kupeleka pressure Kwa mpinzani!,Ile timu ya miezi michache nyuma ambayo ilikuwa ikiwapa presha wapinzani Sasa hivi ni kama imefifia!
Pia Gamondi abadilike,aanze kuwaamini wachezaji,sijaona sababu ya Aucho Leo Kucheza,nje una Sure boy na Mkude!
Akiendelea kukaza fuvu na style yake hii ya Uchezaji,Ubingwa utakuwa historia!
Nasredin Nabi alikuwa hatabiriki,japo alikuwa na wachezaji wa kawaida lakini kila Mchezaji alipata nafasi ya Kucheza na akaonyesha Ubora wake!,Tatizo la Gamondi anatabirika na ndiyo maana makocha wengi wameshamsoma!
Nabi alikuwa akikubadilishia wachezaji wawili tu kila kitu kinabadilika,huyu Gamondi yeye akibadili Mchezaji hakuna kinachobadilika!
Technically kiuchambuzi bila upendeleo yanga hamna timu pale
Ni suala la muda tu.
Sasa Dube anamzidi nini Mzize au mnapenda tu kuwakuza watu?
Clement Mzize ndio mshambuliaji bora zaidi ndani ya Yanga kwa sasa akifuatiwa na Baleke
Amphibians🤣
Ndugu utopolo ulizungumza mantiki.....Sizungumzii matokeo, Performance wise timu yetu ime drop kwenye mechi za hivi karibuni, na iyo ni ishara tunaelekea kusikofaa.. Time will tell
Njoo ukosoe ten....!!!!Unataka kila siku timu ishinde goli nyingi kwani wenzake anaocheza nao wamesimama, wanakula mishahara wale lazima wapambane.
Timu zote alizo cheza nazo Yanga zinapaki bus. Msikalili mpira kila siku sio Jumapili KMC nao wanalipwa mishahara kama Yanga.
Barca kazipiga timu goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa minded dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa ligi au upuuzi.
Hivi umekielewa nilicho kiandika,sasa nikosoe nini? au kuna sehemu unaona nimekosoa,sasa unataka kila siku timu ishinde....... kwani Yanga kabla ya mechi ya juzi matokeo ya mechi tano za mwisho ilikuwaje?Njoo ukosoe ten....!!!!
Nimeandika maneno nachache umeandika habari kubwa na dharau kibao.... Unajifanya unajua Kila kitu.Hivi umekielewa nilicho kiandika,sasa nikosoe nini? au kuna sehemu unaona nimekosoa,sasa unataka kila siku timu ishinde....... kwani Yanga kabla ya mechi ya juzi matokeo ya mechi tano za mwisho ilikuwaje?
Wengine mpira mnaoneka hata hamjacheza, mimi sio mtu wa kupaniki. Kama umepigwa ndio mpira jipange awamu nyingine na kama umeshinda sawa.
Matokea yake kwa kupanic kwenu mmemuondoa kocha,ambaye hana makosa mmemleta huyu ambaye anahitaji mda na matokeo yake juzi mliona najua tutamlaumu ila still bado yy yupo kwenye level ya kujenga kikosi chake,ktk kujenga anaweza akapatia au akakosea kama ilivyokuwa juzi.
Sasa dharau ipo wapi?Nimeandika maneno nachache umeandika habari kubwa na dharau kibao.... Unajifanya unajua Kila kitu.