Yanga imekuja na Gamondi day mchezo wao dhidi ya Dodoma Jiji mei 22

Yanga imekuja na Gamondi day mchezo wao dhidi ya Dodoma Jiji mei 22

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
"Kesho tunasafiri majira ya saa nne asubuhi kuelekea pale mkoani Dodoma kucheza dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo utafanyika tarehe 22 Mei 2024. Mechi hii ya Dodoma tumeifanya mechi ya kushukuru benchi la ufundi. Hivyo itakuwa ni π†π€πŒπŽππƒπˆ πƒπ€π˜

Kwenye π†π€πŒπŽππƒπˆ πƒπ€π˜ itakapofika 𝐝𝐚𝐀𝐒𝐀𝐚 𝐲𝐚 πŸ‘πŸŽ, wana Yanga wote tunapaswa kusimama kumpigia makofi π†πšπ¦π¨π§ππ’ na benchi lake la ufundi kwa dakika moja. Tunampa heshima π†πšπ¦π¨π§ππ’ kwa kutupatia ubingwa wa kishitoria mara ya 30" @alikamwe
 
"Kesho tunasafiri majira ya saa nne asubuhi kuelekea pale mkoani Dodoma kucheza dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo utafanyika tarehe 22 Mei 2024. Mechi hii ya Dodoma tumeifanya mechi ya kushukuru benchi la ufundi. Hivyo itakuwa ni π†π€πŒπŽππƒπˆ πƒπ€π˜

Kwenye π†π€πŒπŽππƒπˆ πƒπ€π˜ itakapofika 𝐝𝐚𝐀𝐒𝐀𝐚 𝐲𝐚 πŸ‘πŸŽ, wana Yanga wote tunapaswa kusimama kumpigia makofi π†πšπ¦π¨π§ππ’ na benchi lake la ufundi kwa dakika moja. Tunampa heshima π†πšπ¦π¨π§ππ’ kwa kutupatia ubingwa wa kishitoria mara ya 30" @alikamwe
ni ubunifu wa hali ya juu sana
 
"Kesho tunasafiri majira ya saa nne asubuhi kuelekea pale mkoani Dodoma kucheza dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo utafanyika tarehe 22 Mei 2024. Mechi hii ya Dodoma tumeifanya mechi ya kushukuru benchi la ufundi. Hivyo itakuwa ni π†π€πŒπŽππƒπˆ πƒπ€π˜

Kwenye π†π€πŒπŽππƒπˆ πƒπ€π˜ itakapofika 𝐝𝐚𝐀𝐒𝐀𝐚 𝐲𝐚 πŸ‘πŸŽ, wana Yanga wote tunapaswa kusimama kumpigia makofi π†πšπ¦π¨π§ππ’ na benchi lake la ufundi kwa dakika moja. Tunampa heshima π†πšπ¦π¨π§ππ’ kwa kutupatia ubingwa wa kishitoria mara ya 30" @alikamwe
Good thinking
 
Back
Top Bottom