hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 3,553
- 7,334
Wazee wa tambiko hatarishi.Aiseeeee wenzetu Makolo FC Mikia FC wachawi sana hawa jamaa.
Licha ya matambiko na ushirikina hiyo mechi wakatolewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa tambiko hatarishi.Aiseeeee wenzetu Makolo FC Mikia FC wachawi sana hawa jamaa.
Acha tu ndugu yangu....Wazee wa tambiko hatarishi.
Licha ya matambiko na ushirikina hiyo mechi wakatolewa.
Kwel aliyewaita utopolo alitafakari mbali sanaUchawi wa kutega milangoni huwezi wapata Yanga.
Tusisahau Simba ndio klabu inayo tambulika na CAF kwa mambo ya kishirikina kwa kiwango Cha lami.
Kule South Afrika wali itia Nchi fedheha kwa kuwasha moto wa kishirikina katikati ya uwanja ugenini na Bado waka kandwa na Orlando Pirates.
Kwa hapa bongo kwa misimu kumi mfululizo katika matukio tofauti Simba imekua ikiadhibiwa kwa kujihusisha na vitendo vya kishirikina.
Bahati mbaya kwa Simba Yanga inafahamu mitego Yao yote ya kichawi katika milango ya kuingilia uwanjani na uweza kuikwepa kwa kutopita maeneo husika na kwenda kuwa Kanda uwanjani.