Yanga imevunja record Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika

Yanga imevunja record Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
record babkubwa zaidi.

1) Aucho mchezaji wa Yanga alikuwa timu yao ya taifa na wamefuzu.

2) Diarra yupo Yanga kashiriki kufuzu AFCON na Mali imefuzu.

3) Dube yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Zimbabwe imefuzu AFCON

4) Aziz ki yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Burkina Faso imefuzu AFCON

5) Chama na Musonda wameshiriki kufuzu AFCON na Zambia imefuzu AFCON.

6) Mzize, Mudathir,Baca, Job wameshiriki kufuzu AFCON na Tanzania imefuzu AFCON

7) Abuya kashiriki kufuzu AFCON na Kenya ikashindwa kufuzu AFCON.

8) katika mechi ya Tanzania vs Guinea, wachezaji waliotumikia Yanga wameshirikiana kumtungua kipinipini Camara (Feitoto - Mudathir -Msuva)

Yanga imetoa wachezaji 11 katika mataifa 7, katika mataifa hayo 7 ni mchezaji wa taifa moja pekee ndiyo timu yake imeshindwa kufuzu AFCON.
 
record babkubwa zaidi.

1) Aucho mchezaji wa Yanga alikuwa timu yao ya taifa na wamefuzu.
2) Diarra yupo Yanga kashiriki kufuzu AFCON na Mali imefuzu.
3) Dube yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Zimbabwe imefuzu AFCON
4) Aziz ki yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Burkina Faso imefuzu AFCON
5) Chama na Musonda wameshiriki kufuzu AFCON na Zambia imefuzu AFCON.
6) Mzize, Mudathir,Baca, Job wameshiriki kufuzu AFCON na Tanzania imefuzu AFCON
7) Abuya kashiriki kufuzu AFCON na Kenya ikashindwa kufuzu AFCON.
8) katika mechi ya Tanzania vs Guinea, wachezaji waliotumikia Yanga wameshirikiana kumtungua kipinipini Camara (Feitoto - Mudathir -Msuva)
Yanga imetoa wachezaji 11 katika mataifa 7, katika mataifa hayo 7 ni mchezaji wa taifa moja pekee ndiyo timu yake imeshindwa kufuzu AFCON.
mngekuwa mnafuatilia hivi mambo ya msingi ya taifa hili, tungekuwa mbali sana kimaendeleo. mnafuatilia ya kipuuzi mwishowe mnaishia kwenye u-lice na unafique

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
record babkubwa zaidi.

1) Aucho mchezaji wa Yanga alikuwa timu yao ya taifa na wamefuzu.
2) Diarra yupo Yanga kashiriki kufuzu AFCON na Mali imefuzu.
3) Dube yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Zimbabwe imefuzu AFCON
4) Aziz ki yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Burkina Faso imefuzu AFCON
5) Chama na Musonda wameshiriki kufuzu AFCON na Zambia imefuzu AFCON.
6) Mzize, Mudathir,Baca, Job wameshiriki kufuzu AFCON na Tanzania imefuzu AFCON
7) Abuya kashiriki kufuzu AFCON na Kenya ikashindwa kufuzu AFCON.
8) katika mechi ya Tanzania vs Guinea, wachezaji waliotumikia Yanga wameshirikiana kumtungua kipinipini Camara (Feitoto - Mudathir -Msuva)
Yanga imetoa wachezaji 11 katika mataifa 7, katika mataifa hayo 7 ni mchezaji wa taifa moja pekee ndiyo timu yake imeshindwa kufuzu AFCON.
Poapoa ila wakumbushe pia kuwa nyuki hakumbatiwi.. Hii nayo ni record ujue
 
record babkubwa zaidi.

1) Aucho mchezaji wa Yanga alikuwa timu yao ya taifa na wamefuzu.

2) Diarra yupo Yanga kashiriki kufuzu AFCON na Mali imefuzu.

3) Dube yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Zimbabwe imefuzu AFCON

4) Aziz ki yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Burkina Faso imefuzu AFCON

5) Chama na Musonda wameshiriki kufuzu AFCON na Zambia imefuzu AFCON.

6) Mzize, Mudathir,Baca, Job wameshiriki kufuzu AFCON na Tanzania imefuzu AFCON

7) Abuya kashiriki kufuzu AFCON na Kenya ikashindwa kufuzu AFCON.

8) katika mechi ya Tanzania vs Guinea, wachezaji waliotumikia Yanga wameshirikiana kumtungua kipinipini Camara (Feitoto - Mudathir -Msuva)

Yanga imetoa wachezaji 11 katika mataifa 7, katika mataifa hayo 7 ni mchezaji wa taifa moja pekee ndiyo timu yake imeshindwa kufuzu AFCON.
Hii nayo ni taarifa ya kuwekwa JF kweli? Nahisi huna cha kufanya umeamua kuleta upuuzi
 
record babkubwa zaidi.

1) Aucho mchezaji wa Yanga alikuwa timu yao ya taifa na wamefuzu.

2) Diarra yupo Yanga kashiriki kufuzu AFCON na Mali imefuzu.

3) Dube yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Zimbabwe imefuzu AFCON

4) Aziz ki yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Burkina Faso imefuzu AFCON

5) Chama na Musonda wameshiriki kufuzu AFCON na Zambia imefuzu AFCON.

6) Mzize, Mudathir,Baca, Job wameshiriki kufuzu AFCON na Tanzania imefuzu AFCON

7) Abuya kashiriki kufuzu AFCON na Kenya ikashindwa kufuzu AFCON.

8) katika mechi ya Tanzania vs Guinea, wachezaji waliotumikia Yanga wameshirikiana kumtungua kipinipini Camara (Feitoto - Mudathir -Msuva)

Yanga imetoa wachezaji 11 katika mataifa 7, katika mataifa hayo 7 ni mchezaji wa taifa moja pekee ndiyo timu yake imeshindwa kufuzu AFCON.
 
record babkubwa zaidi.

1) Aucho mchezaji wa Yanga alikuwa timu yao ya taifa na wamefuzu.

2) Diarra yupo Yanga kashiriki kufuzu AFCON na Mali imefuzu.

3) Dube yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Zimbabwe imefuzu AFCON

4) Aziz ki yupo Yanga na kashiriki kufuzu AFCON na Burkina Faso imefuzu AFCON

5) Chama na Musonda wameshiriki kufuzu AFCON na Zambia imefuzu AFCON.

6) Mzize, Mudathir,Baca, Job wameshiriki kufuzu AFCON na Tanzania imefuzu AFCON

7) Abuya kashiriki kufuzu AFCON na Kenya ikashindwa kufuzu AFCON.

8) katika mechi ya Tanzania vs Guinea, wachezaji waliotumikia Yanga wameshirikiana kumtungua kipinipini Camara (Feitoto - Mudathir -Msuva)

Yanga imetoa wachezaji 11 katika mataifa 7, katika mataifa hayo 7 ni mchezaji wa taifa moja pekee ndiyo timu yake imeshindwa kufuzu AFCON.

Mngekuwa mnawaachia Mzee JK na Mzee Sande kupost thread jukwaani..!

Kwa hizi posts zenu za kiutopolo Utopolo sometimes huwa mnawaaibisha kwa post Zenu...! Bila shaka hawa Wawili wenye Akili pale Utopoloni wapo humu!
 
Mngekuwa mnawaachia Mzee JK na Mzee Sande kupost thread jukwaani..!

Kwa hizi posts zenu za kiutopolo Utopaaolo sometimes huwa mnawaaibisha kwa post Zenu...! Bila shaka hawa Wawili wenye Akili pale Utopoloni wapo humu!
Kwani Kuna uongo hapo? Mlivyopost habari za Camara na manura kidaka mechi Moja kuna aliyewasimanga!
 
Rekodi nyingine itatokea kama hao wote wataitwa kwenye vikosi vya mataifa yao yatakayokwenda AFCON 2025 morocco
 
Familia yako inashindia mihogo. Wewe unawaza rekodi za kijinga utakufa masikini mbwa wewe

Nakufahamu vizuri fanyakazi sasa hii rekodi ya kipuuzi inamchango gani katika kuleta maendeleo kwako.
Najua utakuja na uongo wako kuwa unamaisha mazuri hauna kitu mbwa wewe .
 
mngekuwa mnafuatilia hivi mambo ya msingi ya taifa hili, tungekuwa mbali sana kimaendeleo. mnafuatilia ya kipuuzi mwishowe mnaishia kwenye u-lice na unafique

JESUS IS LORD&SAVIOR
Kama mambo ya msingi yenyewe ndio hayo ya JESUS IS LORD & SAVIO nibora ubaki nayo mwenyewe tu.
 
Back
Top Bottom