Yanga imewahi kula 6-0 na Raja Casablanca, Historia kujirudia

Yanga imewahi kula 6-0 na Raja Casablanca, Historia kujirudia

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20221020-152845_Chrome.jpg

JBIBEPTS
1Ivory Coast
ASEC Mimosas
610413
2South Africa
Manning Rangers
69610
3Morocco
Raja Casablanca
61278
4Tanzania
Yanga
65192

Kwa vile wenzetu wanapenda kuishi kwa historia, leo naleta kwao historia iliyoingiza nchi kwenye aibu.

Mwaka 1998 Yanga ilipokea kipigo cha 6-0 toka kwa Mwarabu. Juzi hapa walileta stori ya Club Africain kupigwa 6 na TP Mazembe miaka hiyooo.

Ukilinganisha ubora wa Club Africain na udhaifu wa Yanga, ni imani yangu historia hii inaenda kujirudia. Ikumbukwe kwamba Kipanga alipokea kipigo kama hicho.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 2392783
JBIBEPTS
1Ivory Coast
ASEC Mimosas
610413
2South Africa
Manning Rangers
69610
3Morocco
Raja Casablanca
61278
4Tanzania
Yanga
65192

Kwa vile wenzetu wanapenda kuishi kwa historia, leo naleta kwao historia iliyoingiza nchi kwenye aibu.

Mwaka 1998 Yanga ilipokea kipigo cha 6-0 toka kwa Mwarabu. Juzi hapa walileta stori ya Club Africain kupigwa 6 na TP Mazembe miaka hiyooo.

Ukilinganisha ubora wa Club Africain na udhaifu wa Yanga, ni imani yangu historia hii inaenda kujirudia. Ikumbukwe kwamba Kipanga alipokea kipigo kama hicho.
Kama ni historia angalia hiyo hapo
Screenshot_2022-10-19-17-49-01.jpg
 
View attachment 2392783
JBIBEPTS
1Ivory Coast
ASEC Mimosas
610413
2South Africa
Manning Rangers
69610
3Morocco
Raja Casablanca
61278
4Tanzania
Yanga
65192

Kwa vile wenzetu wanapenda kuishi kwa historia, leo naleta kwao historia iliyoingiza nchi kwenye aibu.

Mwaka 1998 Yanga ilipokea kipigo cha 6-0 toka kwa Mwarabu. Juzi hapa walileta stori ya Club Africain kupigwa 6 na TP Mazembe miaka hiyooo.

Ukilinganisha ubora wa Club Africain na udhaifu wa Yanga, ni imani yangu historia hii inaenda kujirudia. Ikumbukwe kwamba Kipanga alipokea kipigo kama hicho.
😀😀😀 Wazee wa sudan
 
Back
Top Bottom