Yanga imewapa somo wachambuzi wetu

Yanga imewapa somo wachambuzi wetu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mpira hauchezwi kwenye vyombo vya habari, unachezwa uwanjani. Maneno hayachezi mpira, chuki na mahaba ya mtu havisababishi timu kushindwa au kushinda.

Yanga imewafundisha watu somo hili la weledi. Sasa hivi wachambuzi wote wamenyooka kama rula, wameanza kuamini kama mpira ni sayansi, mpira ni benchi la ufundi, mpira ni uongozi bora na mpira ni uwekezaji bora.

Hakuna kuropoka sasa hivi.
 
Mbona wewe unaropoka.

Ama kweli WATANZANIA ni mazwazwa sana.....!!!!!

Toa kibanzi kilichopo jichoni mwako ndipo utoe boriti iliyo jichoni kwa mwenzako.
 
Mpira wa kisasa kiukweli hakuna ujanja ujanja.

Angalia ukianzia ulaya Manchester city, Real, PSG na Bayern hawachukui ubingwa kila siku bahati mbaya.

Wameinvest hasa kwa kuwa na makocha Bora na wachezeji wanaojitambua.

Hata africa waangalie Alhaly na Mamerodi ni timu ambazo hata ukizifunga unatakiwa ushangilie Sana.

Naiona yanga ikielekea huko kwenye kushinda na giants wa africa akianzia kwenye shirikisho.

Ndani ya miaka 5 ijayo yanga itakuwa ni timu hatari na tishio africa na sio kusindikiza watu kwenda kuchukua vikombe we unarudi..

Mpira ni uwekezaji na sio ujanja ujanja!!
 
Endeleen kuweweseka ninyi utopolo
Mpira wa kisasa kiukweli hakuna ujanja ujanja.

Angalia ukanzia ulaya Manchester city, Real, PSG na Bayern hawachukui ubingwa kila siku bahati mbaya.

Wameinvest hasa kwa kuwa na makocha Bora na wachezeji wanaojitambua.

Hata africa waangalie Alhaly na Mamerodi ni timu ambazo hata ukizifunga unatakiwa ushamgilie Sana.

Naiona yanga ikielekea huko kwenye kushinda na giants wa africa akianzia kwenye shirikisho.

Ndani ya miaka 5 ijayo yanga itakuwa ni timu hatari na tishio africa na sio kusindikiza watu kwenda kuchukua vikombe we unarudi..

Mpira ni uwekezaji na sio ujanja ujanja!!
 
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada wanakuja kukupopoa kwa kejeli na matusi kuwa bahasha ndizo zinafanya Yanga washinde mechi za unbeaten run 48 TZ hadi sasa [emoji1787]
Bahasha za kivipi wakati Yanga ilizitandika hata Simba na Azam timu zenye mapesa? Hii unbeaten kaka inachangiwa na timu zote kwenye ligi wakiwemo makolo
 
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada wanakuja kukupopoa kwa kejeli na matusi kuwa bahasha ndizo zinafanya Yanga washinde mechi za unbeaten run 48 TZ hadi sasa [emoji1787]
Walidhani Manara akifungiwa basi na Yanga imekufa. Walidhani Yanga ikipangiwa ratiba ngumu ya ligi basi Yanga inadorora, wachambuzi walidhani wakiisema vibaya Yanga itakata tamaa na kufungwa, walidhani waakimseema vibaya hersi basi kila kitu kushenei.
 
Wachambuzi wapo pote duniani ninyi washamba mlijirundika kwenye soka huku hamjui tabia za soka.ACHENI USHAMBA WA USHINDI.
 
Walidhani Manara akifungiwa basi na Yanga imekufa. Walidhani Yanga ikipangiwa ratiba ngumu ya ligi basi Yanga inadorora, wachambuzi walidhani wakiisema vibaya Yanga itakata tamaa na kufungwa, walidhani waakimseema vibaya hersi basi kila kitu kushenei.
Day mnatia aibu sana,sema hamjijui inachambuliwa barcelona ninyi nani msichambuliwe.Acheni ushamba.
 
Walidhani Manara akifungiwa basi na Yanga imekufa. Walidhani Yanga ikipangiwa ratiba ngumu ya ligi basi Yanga inadorora, wachambuzi walidhani wakiisema vibaya Yanga itakata tamaa na kufungwa, walidhani waakimseema vibaya hersi basi kila kitu kushenei.
Ila Eng. Hersi mwamba aisee. Kwa umri wake, inexperience, presha na ubize lakini hatetereki. Hope his VP is as good as he is or better. Anamsaidia inavyostahiki.
 
Mbona wewe unaropoka.

Ama kweli WATANZANIA ni mazwazwa sana.....!!!!!

Toa kibanzi kilichopo jichoni mwako ndipo utoe boriti iliyo jichoni kwa mwenzako.
Zwazwa baba ako,acha ungexe wewe kwani wewe sio mtanzania??
 
Wachambuzi wapo pote duniani ninyi washamba mlijirundika kwenye soka huku hamjui tabia za soka.ACHENI USHAMBA WA USHINDI.
Wachambuzi hawachambui mpira bali wanaichambua timu moja negatively.
 
Day mnatia aibu sana,sema hamjijui inachambuliwa barcelona ninyi nani msichambuliwe.Acheni ushamba.
hakuna wachambuzi hapa, kuna wapiga ramli wanaoendeshwa na matukio ya mahaba ya timu. Mbona wachambuzi wa Azam media hatuwaoni wakijiingiza kwenye ushabiki ingawa wana timu zao mioyoni?
 
Back
Top Bottom