B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Kikosi cha yanga kwa Muda waliokaa kambini ni Mchache sana na ukizingatia Safari za hapa na pale!
1st Goalkeeper, Djigui Diarra ni bonge Moja la Mchezaji, hata uwe mnafiki vipi Lazima kazi yake utaikubali tu, Magoli aliyofungwa ni Makosa ya kimpira tu Tumpe Mechi Tano tu Then ndio tuanze Lawama za Kibongo!
2nd, Natamani Combination ya Dickson Job na Bakari Nondo iendelee kuaminiwa Maana ni Hazina ya Taifa, Naamini kwa Siku za usoni itakua Bora kabisa
3rd Natamani Nione Combination ya Double Pivot ya Mukoko Tonombe na Yannick Bangala, Hii itakua ni Safu Bora katika kuimarisha Ulinzi kwa kuwasaidia Job na Nondo!
4th: Djuma Shabani ni Namba Nyingine kabisa, Shomari Kibwana ameletewa Mwalimu sahihi wa Kumpa Changamoto ni wakati sahihi wa kutambua Majukumu yake!
5th: Kocha Jana alifanya makosa makubwa sana, Jana tulitamani sana tuone kushoto tuna Nini, Tuna Mchezaji mpya kule kwenye beki ya Kushoto tulitaka tumuone nayeye anakipi kwa wananchi! Japo Shomari Alifiti lakini tulitaka tuone mtu wa Nafasi ile.
6th: Feisal Abdallah Salum "Toto" kwa Kifupi unaweza Muita " F A S T" Sina Maneno Mengi zaidi ya kusema "He is professional Maestro" Kocha kajua kumtumia.
7th: Left Wing, Farid hatoshi kabisa, Faridi ni yuleyule wa Mwaka jana, Anahitaji Mwalimu bora wa Saikolojia.
8th: Jesus Moloko, Kuna watu wanajaribu kumponda huyu Bwana mdogo, Mimi nasema Hapana, Tumpe muda Angalau Mechi hata Kumi, Kwangu Mimi he is SUPER PLAYER! Ukitaka kujua hilo angalia mikimbio yake yuko vizuri!
9th: Makambo ni yuleyule Makambovic🔥🔥, Na safari hii anawatu kweli kweli! Kwahiyo Tusubiri tu Furaha Msimu huu!
10th: Fiston Mayele Sina wasiwasi naye ni pressure tu jana ilimgharimu ila pia Wananchi Muwe na Subira juu yake! Wanaomponda ni wale wa upande wa Kikeni kikubwa ni Support tu!
=> Zawadi Mauya Nafasi yako iko mashakani Maana kuna watu wa kazi
1st Goalkeeper, Djigui Diarra ni bonge Moja la Mchezaji, hata uwe mnafiki vipi Lazima kazi yake utaikubali tu, Magoli aliyofungwa ni Makosa ya kimpira tu Tumpe Mechi Tano tu Then ndio tuanze Lawama za Kibongo!
2nd, Natamani Combination ya Dickson Job na Bakari Nondo iendelee kuaminiwa Maana ni Hazina ya Taifa, Naamini kwa Siku za usoni itakua Bora kabisa
3rd Natamani Nione Combination ya Double Pivot ya Mukoko Tonombe na Yannick Bangala, Hii itakua ni Safu Bora katika kuimarisha Ulinzi kwa kuwasaidia Job na Nondo!
4th: Djuma Shabani ni Namba Nyingine kabisa, Shomari Kibwana ameletewa Mwalimu sahihi wa Kumpa Changamoto ni wakati sahihi wa kutambua Majukumu yake!
5th: Kocha Jana alifanya makosa makubwa sana, Jana tulitamani sana tuone kushoto tuna Nini, Tuna Mchezaji mpya kule kwenye beki ya Kushoto tulitaka tumuone nayeye anakipi kwa wananchi! Japo Shomari Alifiti lakini tulitaka tuone mtu wa Nafasi ile.
6th: Feisal Abdallah Salum "Toto" kwa Kifupi unaweza Muita " F A S T" Sina Maneno Mengi zaidi ya kusema "He is professional Maestro" Kocha kajua kumtumia.
7th: Left Wing, Farid hatoshi kabisa, Faridi ni yuleyule wa Mwaka jana, Anahitaji Mwalimu bora wa Saikolojia.
8th: Jesus Moloko, Kuna watu wanajaribu kumponda huyu Bwana mdogo, Mimi nasema Hapana, Tumpe muda Angalau Mechi hata Kumi, Kwangu Mimi he is SUPER PLAYER! Ukitaka kujua hilo angalia mikimbio yake yuko vizuri!
9th: Makambo ni yuleyule Makambovic🔥🔥, Na safari hii anawatu kweli kweli! Kwahiyo Tusubiri tu Furaha Msimu huu!
10th: Fiston Mayele Sina wasiwasi naye ni pressure tu jana ilimgharimu ila pia Wananchi Muwe na Subira juu yake! Wanaomponda ni wale wa upande wa Kikeni kikubwa ni Support tu!
=> Zawadi Mauya Nafasi yako iko mashakani Maana kuna watu wa kazi
- Mukoko Tonombe
- Yannick Bangala
- Khalid Auco