Yanga ina kikosi imara sana

Simba amecheza mechi na timu gani kubwa za kimataifa ebu tutajie hapa? Manake Simba nae ameuza baadhi ya wachezaji na amesajili wengi tumemsikia kocha wa Simba nae akisema anahitaji muda kutafuta muunganiko wa kikosi chake kwani Kuna mabadiliko mengi.Yani kwa sababu Yanga kufungwa kwenye Bonanza ndiyo kelele zote hizo,hivi akimfunga Rivers utd mtaweka wapi sura yenu wachambuzi kama wewe? Acheni maneno maneno kumbuka Nabi ni kocha mzuri anajua anachokifanya nyie subiri dozi kwenye msimu huu.
 
Sema tu mwalimu anazingua kuwaacha mabeki namba 3 halisi kama yule mgeni Bryson, Adeyun na Mustafa! Na kumchezesha Kibwana Shomari!

Mechi zijazo Zawadi Mauya na Faridi Musa ni vyema wakaanzia nje. Tunahitaji maingizo mapya.
 
Adeyun daaah sioni mchezaji ndani yake
Sema tu mwalimu anazingua kuwaacha mabeki namba 3 halisi kama yule mgeni Bryson, Adeyun na Mustafa! Na kumchezesha Kibwana Shomari!

Mechi zijazo Zawadi Mauya na Faridi Musa ni vyema wakaanzia nje. Tunahitaji maingizo mapya.
 
π——π—”π—žπ—œπ—žπ—” 90 𝗭𝗔 π—žπ—ͺ𝗔𝗑𝗭𝗔 π—­π—œπ— π—˜π—œπ—¦π—›π—”
:
Dakika 90 za kwanza Kocha Nasserdine Nabi amefeli kwenye Selection ya Team na kwenye SUB Alifeli kwa 95%
KIVIPI
β€’β€’β€’β€’β€’β€’β€’β€’
1. Adeyun Salehe:- Sijajua aliyependekeza kubaki kwake, hasitaili kuchezea Club yanga na Hakuna mjadala.
:
2. Zawadi Mauya:- Mpaka Dirisha linafungwa sijajua alibakia Yanga kufanya Nini! Anaidhalilisha Nembo ya Yanga anachokifanya ni upumbavu mtupu uwanjani, kama angekua na mkataba angerudi tu Kagera akazeekee kule.
:
3. Kocha naona kibarua kitamuozea mapema sana, Unamuachaje mtu kama Saido,Bangala,Kaseke wakae Benchi ilihali Timu inazidiwa??
:
4. Kibwana Shomari anataka kuiga Uchezaji wa Djuma Shabani, Kwanini usicheze kwa style yako uliyoizoea??
:
5. Sijajua Kinachomuweka Nje David Bryson mpaka Leo hii, kama hana Match fitness alisajiliwa ili atumike lini?? Madactari wanafanya kitu Gani mpaka Leo hii!!
Hakuna kitu wanachokosewa wanayanga kama mambo yanayoendelea sasa, Picking ya Coach inaanza kufeli mapema....
Team Kushinda ni Jukumu lenu na kulaumiwa hatuachi mpaka mjue Mmebeba furaha ya wananchi wangapi, Haiwezekani Mtu unalipwa vizuri, unakula vizuri, Unalala pazuri alafu unachofanya uwanjani ni Utumbo wa mbwa kabisa
:
Atakaesema Lawama za Nini kwanini tusiwalaumu wakati walisajiliwa waje waitumikie Team yetu kwa jasho na damu!
:
Atakaeleta Masihara naomba Uongozi usiwachekee ni kufukuza tu wakafanye shughuli walizozaliwa nazo
 
Miaka mi 3 Sasa GSM anatufanya yanga ma bwenge ntozeni wake.kila mwaka usajili wa wachezaji zaidi ya 9 kila mwaka tuipe muda timu,brooh ujinga una mwisho wake.
Anawafanya kama vifaranga vya kuku, kila siku vinaambiwa vitanyonya kesho[emoji1787][emoji1787]
 
Moja ya sehemu itakayowagharimu sana yanga mwaka huu ni sehemu ya Goalkeeping yule kipa mdaka mishale ana papara mno.

Yule yesu moloko sawa na nchimbi tu
 
Mkuuu kauli yako imejidhihirisha waz waz hongera kwa kuujua mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…