Yanga Ina watu wazito, hii ndo bodi ya wadhamini waliochaguliwa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Timu yeyote lazima ijengwe na watu wazito, wenye influencing power kubwa jamii ......hii ndio bodi ya wadhamini iliochaguliwa .....hii ndiyo maana halisi ya timu ya wananchi

Mheshimiwa bi Fatma karume

Mh. George mkuchika

Mh. Dr mwigulu nchemba

Mh. Anthony mavunde

Mh Abas Tarimba


Sasa nyie endelezeni kuwachagua kina kitale tundamani na mwijaku[emoji23]
 
Kamati ya siasa ya Ccm in back ground.

Tunapowaambiaga kila siku hapa timu za Simba na Yanga zinamilikiwa na serikali kuna viziwi huwa hawaelewi.

Bodi ya wadhamini ndio wamiliki wa timu na Mali zote za timu.
 
Yanga Ina Kila kitu mkuu hata madem wa yanga ni wakali balaaa. Shoo zetu wanayanga kitandani hazifananishwi na kenge yoyote yule. Yanga bot pale wadau kama wote. Hatuna idadi kubwa ya wasaka ajira na wasiokuwa na kazi. Ndo mana mitandaoni hutuoni sana kuchangia changia
 
Uyo ni bonge la demu wa Yanga queens.
 
Mama j
 
Ha po Kwa Fatima karume Ni big noww
 
When it comes to Soccer kinacho-matter ni kwenye Pitch hayo mengine sometimes yanaweza kuwa distraction..., Hao Jamaa kuleta Upuuzi wao wa kule na kuuleta Huku....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…