Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Mkurupuko huu.Na huu ndo uhalisia uliopoView attachment 3037613i
•Matumizi ya Yanga yanatia mashaka kidogo,timu ina ratiba nyingi zisizokuwa na faida ..mfano kugawia supu mashabiki kisa kuifunga simba ni matumizi mabaya ya hela , kubandika mabango ya matokeo mtaani ni gharama za kujitakia mwisho wa siku timu inatumia fedha kuliko zilizoingia msimu mzima.
•Mikataba ya wachezaji na malipo ina makando kando , juzi ilikuwa Fei leo Aziz Ki . inasikitisha mchezaji wa muhimu kwenye kikosi hajalipwa mpaka sasa ila viongozi wameingia gharama kubwa ya mshahara kwa mchezaji kikongwe Chama
Aziz Ki akiondoka wa kulaumiwa ni viongozi
Tuache na timu yetu.Na huu ndo uhalisia uliopoView attachment 3037613i
•Matumizi ya Yanga yanatia mashaka kidogo,timu ina ratiba nyingi zisizokuwa na faida ..mfano kugawia supu mashabiki kisa kuifunga simba ni matumizi mabaya ya hela , kubandika mabango ya matokeo mtaani ni gharama za kujitakia mwisho wa siku timu inatumia fedha kuliko zilizoingia msimu mzima.
•Mikataba ya wachezaji na malipo ina makando kando , juzi ilikuwa Fei leo Aziz Ki . inasikitisha mchezaji wa muhimu kwenye kikosi hajalipwa mpaka sasa ila viongozi wameingia gharama kubwa ya mshahara kwa mchezaji kikongwe Chama
Aziz Ki akiondoka wa kulaumiwa ni viongozi
Zakooooo pambanaaa unyweshee na wewe familiaayakooooNa huu ndo uhalisia uliopoView attachment 3037613i
•Matumizi ya Yanga yanatia mashaka kidogo,timu ina ratiba nyingi zisizokuwa na faida ..mfano kugawia supu mashabiki kisa kuifunga simba ni matumizi mabaya ya hela , kubandika mabango ya matokeo mtaani ni gharama za kujitakia mwisho wa siku timu inatumia fedha kuliko zilizoingia msimu mzima.
•Mikataba ya wachezaji na malipo ina makando kando , juzi ilikuwa Fei leo Aziz Ki . inasikitisha mchezaji wa muhimu kwenye kikosi hajalipwa mpaka sasa ila viongozi wameingia gharama kubwa ya mshahara kwa mchezaji kikongwe Chama
Aziz Ki akiondoka wa kulaumiwa ni viongozi
Hizi kelele kazitumie kumtoa MangunguSahivi unafikiri wanayaona hayo? Wamelewa pombe unaitwa hersi kila anachoshika kinageuka dhahabu
Sasa ipo hivi. Tajiri ameshapata alichokitaka pale utopoloni maana biashara ya magodoro, jezi na bidhaa nyingine za gsm mauzo yame dabali. Ndio mana unaona ameanza kupunguza bajeti Leo hii tajiri sio wa kushindwa kumretain key aziz au feitoto au mayele. Tajiri ameanza kuona uchungu wa pesa yake.
Hayo ya kuongozwa kihuni watawnza kutaona pombe ya ulevi hersi ikishawaisha. Ndio mana Wana hofu kuu na usajiri wa Simba na Mo kurudi kazini pale Simba.
Chama ameondoka kwa sh ngapi?azizi anaondoka🤣🤣🤣🤣buuuure kabisa
Chama ameachwa na SimbaChama ameondoka kwa sh ngapi?
Ukiwa unalalamika hivi ni muhimu pia ukaweka picha hapa ya Kadi yako ya Uanachama Ili tuone kweli anayelalamika ni mwanachama kindaki ndaki wa Yanga!Na huu ndo uhalisia uliopoView attachment 3037613i
•Matumizi ya Yanga yanatia mashaka kidogo,timu ina ratiba nyingi zisizokuwa na faida ..mfano kugawia supu mashabiki kisa kuifunga simba ni matumizi mabaya ya hela , kubandika mabango ya matokeo mtaani ni gharama za kujitakia mwisho wa siku timu inatumia fedha kuliko zilizoingia msimu mzima.
•Mikataba ya wachezaji na malipo ina makando kando , juzi ilikuwa Fei leo Aziz Ki . inasikitisha mchezaji wa muhimu kwenye kikosi hajalipwa mpaka sasa ila viongozi wameingia gharama kubwa ya mshahara kwa mchezaji kikongwe Chama
Aziz Ki akiondoka wa kulaumiwa ni viongozi
chama tushamuuza maramoja inatoshaChama ameondoka kwa sh ngapi?
Halafu aliwaona wale wazee wawili wenye akili kuliko......Mzee Rage aliona mbali sana