Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1-1Kinachowaumiza Yanga ni kuperform vizuri kwa Simba,lakini Yanga kama timu mbona wako freshi tu.
Kabla ya Simba kianza kila viporo vyake palikua kimya kabisa,lakini baada ya mnyama kuanza kiuunguruma vuguvugu la lawama zisio na msingi zimeanza ghafla,wakati mkiongoza ligi viongozi ni hawa hawa wasasa.
Football ukilazimisha vitu unafungiwa na FIFA. Kwenye football FIFA wanahimiza fair play, katika kila eneoHabari wadau.
Mimi mshabiki wa yanga kiukweli mwenendo wa timu unanikwaza, hasa viongozi wakina Msolla na Mwakalebela.
Ninatamani kiongozi mwenye Magufuli mentality aje aiongoze Yanga.