Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa taasisi hiyo ligi imeshuka ni ya 9 na ya 62 duniani ,shukrani kwa simba kwa kuipigania ligi hii inayoongozwa NA TFF YA MCHONGO NA BODI CHAKAVU YA LIGI HUKU IKICHAGIZWA NA MATAPELI WA SOKA WALIO KATIKA KIVULI CHA UDHAMINI MWENZA....Timu 54 zinaongoza ligi mbali mbali africa ila YANGA inaongoza ligi ya nane afrika. Ni kwa mujibu wa taasisi iitwayo ifhs
Ukifika huku unakubaliana na tafiti ya hiyo taasisi siyo? Unadhani ilifikaje hapo namba nane actually mwaka huu ni ya tisa? Unakumbuka nani waliingiza teams 4 mara mbili basi ndiyo haohao waliopandisha ligiTimu ya wananchi
Wapi nimekubaliana?ukifika huku unakubalian na tafiti ya hiyo taasisi siyo? unadhani ilifikaje hapo namba nane actually mwaka huu ni ya tisa? unakumbuka nani waliingiza teams 4 mara mbili basi ndiyo haohao waliopandisha ligi